Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Kwa akili yako waziri mzima kweli asijue kuwa Tanzania ni Muungano wa Zanzibar na Tanganyika? Unatetea eti misspelling!! Mbona unaongea utopolo? Nijuavyo mimi kama angeandika Tanzania ni Muungano wa Zanzibare na Tanganyika:
Zanzibar kuiandika kama Zanzibare hiyo ndio misspelling! Lakini kaandika kabisa eti Pemba na Msumbiji unasema misspelling kweli! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Hoja yako ni ipi hasa we mwarabu sababu sikuelewi? 🤔
 
Wabongo watu wa ajabu sana, badala ya kuwashangaa Wasukuma na kiswahili chao cha ajabu ajabu(maana hata hawajui matumizi ya R na L) eti wanataka kusema Zanzibar hawajui kiwahili! Aguju!!! Kwa taarifa tu kule kiswahili ndio lugha mama. Kama mtu ataongea lugha nyingine basi hiyo ni yakujifunza
Pia usisahau kurejea katika historia, asilimia kubwa ni watu waliopelekwa kule enzi za utumwa, na sana sana wakitokea tabora, ujiji mpaka nchi ya Congo huko.
 
Pia usisahau kurejea katika historia, asilimia kubwa ni watu waliopelekwa kule enzi za utumwa, na sana sana wakitokea tabora, ujiji mpaka nchi ya Congo huko.
Kabla ya utumwa unataka kusema hakukuwa na watu kule ? Unaijua Kilwa empire? Zanzíbar / Zenji empire ? Mreno anafika Áfrika Mashariki mnamo 1500 akakuta watu wanaishi tena na miji, Akaiteketeza Kilwa n.k ndipo waswahili wakawaomba Waomani waje kuwasaidia kumtimua Mreno..... Waswahili hawakuanza leo wala jana história yao, wapo kitambo Sana, we unakuja kuleta história ya 1800 wakati tokea kabla ya 1500 watu wanaishi na wanajitawala wenyewe.....
 
Pia usisahau kurejea katika historia, asilimia kubwa ni watu waliopelekwa kule enzi za utumwa, na sana sana wakitokea tabora, ujiji mpaka nchi ya Congo huko.
Hao waliochukuliwa na kupelekwa kule kipindi cha biashara ya utumwa ni around 1800 (Karne ya 19). Lakini visiwa vya Zanzibar vilikuwa na watu tangu mwaka 18KK.
 
Zanzibar ni Kisiwa cha Waarabu.
Waliamua kuishi na watumwa wao kutoka Bara.
Baadae watumwa wakawapindua kwa msaada wa Wakoloni toka Bara.

Watumwa bado wana mambo ya ajabu sana.
 
Zanzibar ni Kisiwa cha Waarabu.
Waliamua kuishi na watumwa wao kutoka Bara.
Baadae watumwa wakawapindua kwa msaada wa Wakoloni toka Bara.

Watumwa bado wana mambo ya ajabu sana.
Zanzibar sio kisiwa cha Waarabu, ni kisiwa cha watu weusi tena walikuwepo tangu mwaka 18KK, Waarabu waliingia Zanzibar pamoja na maeneo mengine ya mwambao wa Afrika Mashariki kwenye miaka ya 1600s, kipindi hicho Wareno chini ya Vasco Da Gama Kwenye mwaka 1499 tayari walikuwa wameshazunguka bara la Afrika, na kuweka makazi yao kwenye baadhi ya maeneo ya Zanzibar Kilwa na kuyatawala maeneo hayo. Watu weusi waliokuwepo Zanzibar walimuomba msaada Mwarabu kwa lengo la kuwaondoa Wareno na kwa hilo walifanikiwa. Baadhi ya ushahidi wa majengo ya wareno ni pamoja na Ngome Kongwe (Zanzibar). Lakini pia Mwarabu baada ya kutoa msaada nae alivutiwa na maeneo hayo ndipo Sultan Sayyid Said wa Oman akahamisha makaazi yake kutoka Oman na kuhamia Zanzibar, Sultan wa kwanza kutawala Zanzibar alikuwa akiitwa Majid bin Said ambae ni mtoto wa Sultan Sayyid Said akaanzisha kilimo cha minazi na Karafuu. Watumwa waliochukuliwa kutoka Bara wengi wao walikuwa wakiuzwa nje ya Zanzibar na wachache waliobakia Zanzibar walitumikishwa kwenye hayo mashamba. Iweje useme Zanzibar ni kisiwa cha waarabu??
 
Zanzibar ni wake zetu, tuliwaoa rasmi mwaka wa 1964, na kwa bahati nzuri au mbaya Washenga na waliofungisha ndoa hawapo na hawatakuwepo tena, ndoa hii haitavunjika asilani kwasababu bado wanatufurahisha.

Ndoa ilifungwa hadharani mbele ya kadamnasi.

Tuna mamlaka na haka kazanzibar na hatutakubali kuwaacha wapumue, lazima kuitunza ndoa takatifu

Wabillah Tawfiq,


View attachment 1622981
 
Huyu jamaa anarukaruka tu

Baada ya kugundua ni mwarabu sijajisumbua tena

Kuna watu wanabisha mradi tu

Hajaleta reference hata moja

Bwana Naton Jr una moyo sana
Ulitakiwa kuquote post ya unayemsemea sasa, sio kuquote post yangu [emoji2986]
 
Back
Top Bottom