Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

Fanya tathmini katika maneno utakayoongea ndani ya siku moja, asilimia kubwa ni maneno yenye asili ya kiarabu na sio majina ya vitu ambavyo vingi ni vya kutengeneza na vimetengenezwa na Waingereza na badala yake vinakuja vikiwa tayari na majina ambapo sisi huwa tunatohoa tu!! Haiingii akilini tunapoongelea lugha kama lugha we unakuja na vitu vya kutengenezwa. Ambapo mtengenezaji ni Mwingereza.
[emoji2986][emoji2986][emoji2986]
Hahahaha lugha haina hayo macho

Kwani hakuna nomino za majina zilizokopwa kutoka kiarabu? Tena ndio nyingi kwenye kale kaisilimia chini ya saba ya maneno ya kiarabu kwenye kiswahili.
 
Huo sio uthibitisho wa kitafiti bali ni majina ya vitu na vingi sana vilivyotengenezwa na Waingereza! Hiyo sio lugha ndugu bali ni vifaa vilivyogunduliwa/kutengenezwa na Waingereza "Printa" hiyo sio lugha bali ni jina la kifaa, ukija kwenye lugha ya kiswahili lipo neno lake.
Huo sio uthibitisho wa kitafiti bali ni majina ya vitu na vingi sana vilivyotengenezwa na Waingereza! Hiyo sio lugha ndugu bali ni vifaa vilivyogunduliwa/kutengenezwa na Waingereza "Printa" hiyo sio lugha bali ni jina la kifaa, ukija kwenye lugha ya kiswahili lipo neno lake.

Unachoongea kinaangukia number 1 katikati aina za maneno kwenye lugha ambayo ni nomino

Katikati lugha yoyote ulimwenguni, nomino ndio kikundi cha maneno chenye zaidi ya 50% (ndio maana ni number 1 hapo) ya jumla ya maneno yote kwenye lugha yoyote

Unahitaji shule kubwa sana ya lugha we mwarabu

Screenshot_20201106-121138~2.png
 
  • Thanks
Reactions: T11
Naton Jr
Tatizo mmedumazwa na maneno ya kiingereza kwasababu ya kupenda kutohoa na kuhisi mnaongea/andika maneno kwa kiswahili kumbe bado mmefungwa kihisia na hamjui kuwa bado mnaongea neno lile lile la kiingereza, mfano mdogo "JUICE" wengi wanalitohoa na kuona wanaongea kiswahili "JUISI" kumbe bado mnazunguka mle mle. Kwa asilimia kubwa, Kiswahili ni Kiarabu. Kubali kataa. Wala English haitokuwa/haiwi na misamiati mingi kwenye kiswahili.
 
Naton Jr
Tatizo mmedumazwa na maneno ya kiingereza kwasababu ya kupenda kutohoa na kuhisi mnaongea/andika maneno kwa kiswahili kumbe bado mmefungwa kihisia na hamjui kuwa bado mnaongea neno lile lile la kiingereza, mfano mdogo "JUICE" wengi wanalitohoa na kuona wanaongea kiswahili "JUISI" kumbe bado mnazunguka mle mle. Kwa asilimia kubwa, Kiswahili ni Kiarabu. Kubali kataa. Wala English haitokuwa/haiwi na misamiati mingi kwenye kiswahili.
Sasa mbona hasira? 🤔
 
Mnabishana bure tu....
Mmoja ana elimu na anachokiongea, Mwingine mhemko tu, kutaka race yake ionekane yenye mchango kwenye kiswahili.
 
  • Thanks
Reactions: T11
Unachoongea kinaangukia number 1 katikati aina za maneno kwenye lugha ambayo ni nomino

Katikati lugha yoyote ulimwenguni, nomino ndio kikundi cha maneno chenye zaidi ya 50% (ndio maana ni number 1 hapo) ya jumla ya maneno yote kwenye lugha yoyote

Unahitaji shule kubwa sana ya lugha we mwarabu

View attachment 1620709

Nani anahitaji shule! Hayo maneno uliyoorodhesha humo mengi ni majina ya vitu ambavyo vimegunguliwa/tengenezwa baada ya lugha ya kiswahili kuwepo na sio hapo zamani. Na ndio maana tunasema lugha ya kiswahili bado inaendelea kukua siku baada ya siku...Kwasababu kadiri siku zinavyokwenda kuna vitu vipya vinagunduliwa ambavyo vinahitaji kuwa na majina yake kwa kiswahili ndipo inapotokea kutoholewa.
Hujui kiswahili ndugu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Sasa mbona hasira? [emoji848]
Hasira inaonekana? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Nani anahitaji shule! Hayo maneno uliyoorodhesha humo mengi ni majina ya vitu ambavyo vimegunguliwa/tengenezwa baada ya lugha ya kiswahili kuwepo na sio hapo zamani. Na ndio maana tunasema lugha ya kiswahili bado inaendelea kukua siku baada ya siku...Kwasababu kadiri siku zinavyokwenda kuna vitu vipya vinagunduliwa ambavyo vinahitaji kuwa na majina yake kwa kiswahili ndipo inapotokea kutoholewa.
Hujui kiswahili ndugu.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Ndio hivyo sasa, maneno ya kiingereza tunayapokea kama tulivyoyapokea ya kiarabu na lugha nyingine

Mbona tulivyopokea ya kiarabu hatukuhoji kwanini hayafanani na Kibantu 😊
 
Ndio hivyo sasa, maneno ya kiingereza tunayapokea kama tulivyoyapokea ya kiarabu na lugha nyingine

Mbona tulivyopokea ya kiarabu hatukuhoji kwanini hayafanani na Kibantu [emoji4]
Upate vipi muda wa kuhoji kwani ulikuwepo? Hata kama tunayapokea bado hayatobadilisha uhalisia na uasili wa kitu!
Kwasababu Kiswahili, kilishakuwa, kinakua na bado kitaendelea kukua.
 
Upate vipi muda wa kuhoji kwani ulikuwepo? Hata kama tunayapokea bado hayatobadilisha uhalisia na uasili wa kitu!
Na ndivyo lugha ilivyo, ipo flexible inajilelea yenyewe na kujikuza yenyewe, kwa hiyo huwezi kulaumu kwanini maneno ya kiarabu ni kidogo zaidi kuliko maneno yaliyokopwa kutoka kiingereza, ndio makuzi ya lugha hayo

Na kiswahili kinapoelekea huko mbele kitakua na muonekano wa kiswahili 40% na kiingereza 60% sababu saivi watu wanachanganya sana maneno ya English kwenye lugha kadri watu wanavyozidi kupata elimu na kujichanganya na Jamii ya kimataifa kutoka social media
 
Bado haiwezi kuondoa uhalisia/uasili wake, hata kama maneno ya Kiingereza yataongezeka kwa asilimia ngapi. Kwasababu asili ya kitu itaendelea kubaki vile vile.
 
Bado haiwezi kuondoa uhalisia/uasili wake, hata kama maneno ya Kiingereza yataongezeka kwa asilimia ngapi. Kwasababu asili ya kitu itaendelea kubaki vile vile.
Yeah asili yake ni kibantu tu
 
Hapana, hali ni tofauti kwasasa. Zamani vifaa vingi vya kielektroniki vilikuwa vina lugha ya Kiingereza kama lugha mama, lakini kutokana na kukuwa kwa Kiswahili kwasasa hali hiyo imebadilika na kiswahili kimeshapenya huko. Ugumu upo kwa baadhi ya maneno ya kiswahili ambayo ni magumu kwenye kutamka na kuyaelezea, ndio inapelekea kuchanganya maneno ya kiingereza, kwasababu maneno ya kiingereza ni rahisi kutamka. Watengenezaji wengi wa vifaa vya kielektroniki hutumia lugha ya Kiingereza kutokana na uasili na hivyo kuwa ni lugha ya mazoea kiasi kwamba kifaa kile kile kama kikiwekwa lugha ya kiswahili inamuwiya vigumu mtumiaji kuweza kukitumia kwasababu ya lugha. Lakini pia kutokana na kukua kwa Kiswahili kwasasa kuna unafuu kwa baadhi ya vifaa, kwa vile tayari lugha ya kiswahili imeshafikia kiasi cha kutambulika na kuanza kutumika huko.
 
Hapana, hali ni tofauti kwasasa. Zamani vifaa vingi vya kielektroniki vilikuwa vina lugha ya Kiingereza kama lugha mama, lakini kutokana na kukuwa kwa Kiswahili kwasasa hali hiyo imebadilika na kiswahili kimeshapenya huko. Ugumu upo kwa baadhi ya maneno ya kiswahili ambayo ni magumu kwenye kutamka na kuyaelezea, ndio inapelekea kuchanganya maneno ya kiingereza, kwasababu maneno ya kiingereza ni rahisi kutamka. Watengenezaji wengi wa vifaa vya kielektroniki hutumia lugha ya Kiingereza kutokana na uasili na hivyo kuwa ni lugha ya mazoea kiasi kwamba kifaa kile kile kama kikiwekwa lugha ya kiswahili inamuwiya vigumu mtumiaji kuweza kukitumia kwasababu ya lugha. Lakini pia kutokana na kukua kwa Kiswahili kwasasa kuna unafuu kwa baadhi ya vifaa, kwa vile tayari lugha ya kiswahili imeshafikia kiasi cha kutambulika na kuanza kutumika huko.
'.......... kuanza kutumika huko' wapi? 🤔
 
Yeah asili yake ni kibantu tu
Lugha za kibantu tutarudi kwenye lugha za makabila, kiswahili ni second selection, makabila yote ya kibantu wana lugha zao. Ni tofauti na kiswahili mzee!! Unakwama wapi?
Ukimweka Mchaga aongee lugha yake na Mkurya aongee lugha yake hawatoweza kuelewana kamwe, na zote hizo ni lugha za Kibantu, kwanini iwe hivyo?? Lakini tukiwa kwenye kiswhili wote hao wataelewana, matamshi na lafudhi tu ndizo zitakazotofautiana. Kwasababu kiswahili wanajifunza na sio lugha mama kwao.
 
Lugha za kibantu tutarudi kwenye lugha za makabila, kiswahili ni second selection, makabila yote ya kibantu wana lugha zao. Ni tofauti na kiswahili mzee!! Unakwama wapi?
Ukimweka Mchaga aongee lugha yake na Mkurya aongee lugha yake hawatoweza kuelewana kamwe, na zote hizo ni lugha za Kibantu, kwanini iwe hivyo?? Lakini tukiwa kwenye kiswhili wote hao wataelewana, matamshi na lafudhi tu ndizo zitakazotofautiana. Kwasababu kiswahili wanajifunza na sio lugha mama kwao.
Juzi kwenye campaign za CCM huko Arusha kuna mbunge alitamka maneno ya kilugha yanayosikika kama 'ngashtuka machale kun' desa' akatafsiri kwa Kiswahili kwamba ni 'nimeshtuka machale kunicheza'

Hivi bado tunahitaji debate hapa kwamba kiswahili ni typically kibantu muarabu? 🤔
 
Juzi kwenye campaign za CCM huko Arusha kuna mbunge alitamka maneno ya kilugha yanayosikika kama 'ngashtuka machale kun' desa' akatafsiri kwa Kiswahili kwamba ni 'nimeshtuka machale kunicheza'

Hivi bado tunahitaji debate hapa kwamba kiswahili ni typically kibantu muarabu? [emoji848]
Weka na kwa Kikurya maneno hayo hayo aliyotamka!
 
Back
Top Bottom