Hukumu inasomwa mbele ya DPP, anatoka nje kuzungumza na waandishi na kueleza watuhumiwa walishaanza kutekeleza hukumu kabla haijasomwa

Una uhakika na unayoandika hapa mkuu?
Huyu jamaa ni mwehu anakurupuka anaandika vitu inawezekana anafahamu ukweli ila anajitoa ufahamu kutokana na njaa zake, ni mpuudhi na mshenzi flani ivi watu kama awa wanatakiwa kuuliwa kwa kupigwa na kombora hadarani ni maadui wa Taifa letu.
 
Kuna kesi za kupanda daraja au cheo boss. Tulia njaa haina baunsa
 
Tatizo lako hujui sheria! Kwani ni kosa mtuhumiwa akiamua kulipa na akafika mahakamani akakubali charges then Hakimu akatoa hukumu? Huo ni utaratibu wa kawaida kwa kesi za aina hiyo.
Wewe unaejua Sheria nitajie ni kifungu kipi katika CPA kinaelezea utaratibu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…