Hukumu inasomwa mbele ya DPP, anatoka nje kuzungumza na waandishi na kueleza watuhumiwa walishaanza kutekeleza hukumu kabla haijasomwa

Huyu DPP ananifurahishaga sana[emoji1] haishiwi vituko[emoji1787][emoji1787]
 
Hutu boy katika Ubora wake, ndani ya nchi ya chama kimoja.
MaCCM mnatuumiza sana Watanganyika.
 

Hivi mtuhumiwa akitaka kumaliza kesi kabla ya hakimu au jaji kunakosa?
Ukitaka kuongea na mdai wko mahakama haifungwi kukubali maana ndio lengo lao kumaliza kesi,
Kwahiyo unakuwa umeisaidia mahakama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…