Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
....Dooh!.Kesho itasema ila mwisho wa yote Mungu itangulie JAMII MEDIA.
.....PAMOJA sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....Dooh!.Kesho itasema ila mwisho wa yote Mungu itangulie JAMII MEDIA.
.....JF tuko laki tatu na zaidi,wasitake tuandamane kabisa
.....Nawatakia mafanikio mema JF
.....Tutashinda hakika.
....Ndalama namanisha usiginaji wa katiba sio mzuri,na ninaiombea ushindi jf!ila hofu yangu ni kuwa hata kama wakishinda figisufigisu zaweza endelea
Ile?utamu Wa jf Nina bandia
nishainywa mkuu maanà ndo kilevi changeIle?
.....nishainywa mkuu maanà ndo kilevi change
....Muhimili wa mahakama msituangushe Siku ya kesho tunawategemea
mkuu laki 3 kwenye 50m,tutapotea wote asee. kwa sauti ya mwenyekiti ndani ya mkutano mkuu.JF tuko laki tatu na zaidi,wasitake tuandamane kabisa
jf ikifungiwa nahisi nitakuwa mpweke sana.....
....hahahaha
Kaimu Jaji ana wakati mgumu sana!! Akiwa na msimamo thabiti namuona akiingia kwenye historia ya Majaji Wakuu waliodumu kwa muda mfupi zaidi...
Msimamo wake wa kusimamia sheria.....ndio utaomfanya aingie kwenye historia iliyotukuka kwenye kusimamia haki!!!
Tusubiri ni suala la muda