Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

sijisikii faraja kuwa mtanzania.......kuwa mtanzania ni zaidi ya kuishi ktk ardhi ya tanzania..ila ni zile haki za mtanzania anazotakiwa kupata kutoka kwa serikali ya tanzania na kuishi akiwa na uhuru nchini mwake tanzania..........
 
kesi itakuconducted mahakama gani ????????
ningekuwa bongo ningeibuka fasta......mtupe taarifa kesho mapema tu vinavyoendelea tujue
 
Tumeshashinda hii kesi kwa maslahi ya wengi...!!
Viva Melo! Viva JF!
 
1 Utokapo kwenda vitani kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe, usiwaogope; kwa kuwa Bwana Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi ya Misri.
 
Wakuu kwa Mlioko On the Ground / Mahakamani Please share the updates, wengine tuko Mbali sana na Tanzania.

Kutoka Finland tunawatakia kila la Heri Jamii Media
 
Hakuna siku hata moja giza liliwahi kuishinda nuru....

Kama watu wanahitaji kujifunza hata kwenye historia wanaweza kuwa binadamu bora kabisa kwenye maisha yao na maisha ya wengine na kamwe hawataweza kusahaulika....

Siyo jambo dogo hata mara moja unakuta mtu alishaondoka duniani miaka mingi lakini anashindwa kusahaulika na binadamu wenzake alioishi nao hapa duniani kwasababu yoyote ile,pia siyo jambo dogo kwa binadamu kuweza kujulikana na wanadamu wengi duniani....

Haya maisha siyo jambo la maana kiasi hicho hadi uanze kusababisha mazingira magumu kwa binadamu wengine kuishi hapa duniani.Ishi maisha yako kwa nidhamu maana hujawahi hata siku moja na hata hukuwaza kupewa maisha haya unayoishi leo,umejikuta tu unaishi....

Tuishi maisha ya amani sote hapa duniani na yenye upendo wa hali ya juu maana iko siko siku tutamanani leo hii ijirudie lakini haitawezekana.....
umeandika kwa hisia sana Mkuu. ujumbe mzito wenye macho gt wamekuelewa.

the truth will set you free.
ahsante...
 
umeandika kwa hisia sana Mkuu. ujumbe mzito wenye macho gt wamekuelewa.

the truth will set you free.
ahsante...
Mkuu,tuendelee kuhakikisha utulivu na amani kwa kila mmoja wetu maana hakuna chetu hata kimoja kwenye maisha haya....

Ni hatari sana pale utakapoanza kutamani leo hii ijirudie tena ili urekebishe uyafanyayo leo wakati leo iko mikononi mwako sasa,itumie sasa kurekebisha makosa yako....

Anayelia angejua angeepuka kilichomliza na pengine yeye ndiye msababishi wa kilio chake,tuwe makini tusije kujisababishia vilio huko mbele....

Tuishi kwa kusaidiana kuepuka mabalaa maana kila balaa la mmoja linakuhusu kwa namna moja au nyingine.....

Amani kwetu sote mkuu....
 
Ikishindwa JF Nafuta account zangu zote MITANDAONI Mpaka Email..... kama vipi mtanitafta kwa Barua
Bora kuwa Osama tu maana maisha ya kuwindana huku kwani sie Swala??
 
Wao wenyewe wanapenda kusoma humu, JF itazidi kupaa.
Mkuu ni kweli kabisa unayosema kuna hata yule aliyesema anakaa hadi saa nane usiku kusoma kinachojili kwenye mitandao tunae humu humu JF maana kuna watu makini na habari makini sema hataki kusema tu,tena nitamshangaa sana kama atashinikiza mahakimu waikandamize JF wakati na yeye ni member japo wa kujificha.
 
Bila shaka Watanzania tutashinda hii vita dhidi ya huu 'ukoloni mambo kesho'.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki JF
 
Asante mkuu kwa taarifa.

Hata wao JF wanaipenda ila hawapendi kupata challenge kuhusu namna ya uongozi wao ulivyo.

Jf waiache huru, waache watu wawe huru kusema wanachotaka kusema.
 
wajameni vipi tena, kuna figisu figisu gani? au ndiyo tumeisha dondokea pua?
 
Jamhuri itakua inatafuta namna ya kupindua hukumu inayoonyesha jf wameshinda ili ionekane jf wameshindwa. Kazi ipo.
 
Back
Top Bottom