evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,333
.....kesi itakuconducted mahakama gani ????????
ningekuwa bongo ningeibuka fasta......mtupe taarifa kesho mapema tu vinavyoendelea tujue
Pamoja.....
.....MUNGU akubariki
umeandika kwa hisia sana Mkuu. ujumbe mzito wenye macho gt wamekuelewa.Hakuna siku hata moja giza liliwahi kuishinda nuru....
Kama watu wanahitaji kujifunza hata kwenye historia wanaweza kuwa binadamu bora kabisa kwenye maisha yao na maisha ya wengine na kamwe hawataweza kusahaulika....
Siyo jambo dogo hata mara moja unakuta mtu alishaondoka duniani miaka mingi lakini anashindwa kusahaulika na binadamu wenzake alioishi nao hapa duniani kwasababu yoyote ile,pia siyo jambo dogo kwa binadamu kuweza kujulikana na wanadamu wengi duniani....
Haya maisha siyo jambo la maana kiasi hicho hadi uanze kusababisha mazingira magumu kwa binadamu wengine kuishi hapa duniani.Ishi maisha yako kwa nidhamu maana hujawahi hata siku moja na hata hukuwaza kupewa maisha haya unayoishi leo,umejikuta tu unaishi....
Tuishi maisha ya amani sote hapa duniani na yenye upendo wa hali ya juu maana iko siko siku tutamanani leo hii ijirudie lakini haitawezekana.....
Mkuu,tuendelee kuhakikisha utulivu na amani kwa kila mmoja wetu maana hakuna chetu hata kimoja kwenye maisha haya....umeandika kwa hisia sana Mkuu. ujumbe mzito wenye macho gt wamekuelewa.
the truth will set you free.
ahsante...
Mkuu ni kweli kabisa unayosema kuna hata yule aliyesema anakaa hadi saa nane usiku kusoma kinachojili kwenye mitandao tunae humu humu JF maana kuna watu makini na habari makini sema hataki kusema tu,tena nitamshangaa sana kama atashinikiza mahakimu waikandamize JF wakati na yeye ni member japo wa kujificha.Wao wenyewe wanapenda kusoma humu, JF itazidi kupaa.