Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

Status
Not open for further replies.
Karibu sana uraiani Sheikh..hope kesho tutakua pamoja katika swala ya ijumaa msikiti wa kichangani,Allah Akbar
 
vipi kanisa walilochoma huko Mbagala watalipa fidia au?
 
Kifungo cha nje? wacha utani, huyu ni mmojawapo ya wachochezi wakuu wa udini kwa kisingizio anatetea haki za waislamu nchini. Ingefaa aondolewe kwenye circulation kwa muda mrefu ili waislam wenye dhamana ya kuongoza wenzao wafanye kazi yao kwa amani na sheria.

Kakate rufaa, acha kubwabwaja
 
Mashariti ya kifungo cha nje ni kama ifuatavyo

a) kwanza atatakiwa kuripoti kila siku asubuhi saa kumi na mbili, mahakamani ambako atapangiwa shughuri za kijamii kama kufagia, kulimia bustani za mahakama au kufanya usafi kwenye mahospitali, watakuwa wanamuachia saa nne asubuhi.

b) hatotakiwa kujihusisha na jambo lolote la uvunjifu wa sheria, akithubutu tu kifungo kinabadilika nakuwa cha ndani, kwahiyo yale mambo yakuongoza maandamano yasiyo na kibari ndiyo asahau tena,

b)atatakiwa kuonyesha kwamba tabia yake inabadirika na kuwa raia mwema
 
kamuwekee dhamana wewe basi mbona unaongea kwa mbali sana wala hujajitokeza kwenda kumdhamini

Lema anadhaminika hebu kamdhamini Ponda uone kama hutaachiwa vumbi halafu ukafungwe wewe kiherere

kesi kubwa ya msingi ni wizi ya kiwanja cha bakwata
 
ben saanane naomba hizi thread za kesi za kidini usiwe unaingilia maana utapoteza ile sifa ya ukamanda ndugu yangu. Tukae pembeni tu
RGforever,

Ukamanda ni kupigania haki na kupinga uonevu bila kujali ni nani anayeonewa popote pale
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom