Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

Status
Not open for further replies.
Ponda ametiwa hatiani kwa kosa moja ambalo hakimu amempa conditional kifungu 2yrs... Nje akifanya kosa hilo tena ataibeba original penalty ....
 
Kifungo cha mwaka moja nje asirudie kosa hilo...
 
Kwa kuwa yeye ni muislam tena muumini,
shehe wetu, kipenzi chetu, ndugu yetu, kiongozi wetu,mahakama itamfunga tu, angekuwa ni mkristo kama lwakatare ama askofu angeshaachiwa huru kitambo.
waislamu waumini tunaishi kama watumwa ndani ya nchi hii.
wakristo wakiwa kama ndio wakoloni wetu.
INSHAALLAH ALLAH amfanyie wepesi na ndio iwe sababu ya kupata pepo.
aamin yaa rabi takabal.
Ndugu nofal tatizo la waislam nchi hii sio wakristo, uking'ang'ania ktk mawazo hayo hamtojikombea mkuu wangu, mimi sio muislam lakini nakuakikishia marafiki zangu wengi nilionao ni waislam, na hata ofisini kwangu secretary wangu ni muislam (AMINA) kila saa 7 kasoro anafunga ofisi anaenda kusali, na ninaeshimu imani yake na yeye ninamueshimu sana.
Tatizo la waislamu nchii hii ni BAKWATA, hili ndilo tatizo ndugu yangu, hawa jamaa ndio wanawafitinisha na kuwagawa, kwanza wameuza maeneo yenu yote, jipangeni muwang'oe hawa kina Sheikh Simba japo ni ngumu, wamejiimarisha serikalini hawa na ndio viongozi wa ccm hawa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu juzi nilikua kwenye mkutano wa Lema ngarenaro Arusha, Lema aliwaambia watu wa arusha wasije wakaingia kwenye mkumbo wa kushangilia Sheikh Ponda kunyimwa dhamana, Lema alizidi kusema kuwa makosa yanayopaswa kushitakiwa nayo Sheikh Ponda ni bailable offence na he has rights as suspect na sio kama jeshi la polisi linavyom-treat.
So nakubaliana na wewe mkuu kabisa huu ni uonevu kama Lema alivyosema pia.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Labda kusaidia tu... Kosa la ponda ni bailable offence ndio. Sema mahakama inadiscretion ya kutokuitoa kama kunauweka wa mtuhumiwa kusababisha au kuchochea vurugu... Na kunasababu nyingine nyingi tu. I think that is why hakupata dhamana.
 
Kadiri muda unavyokwenda ndiyo ambavyo heshima yako inazidi kupungua Mkirua, Jibu hoja badala ya kusingizia uandishi, matamshi na post zilizopita... Crushwise amekuuliza swali la msingi kuwa kukosa Hati ndo imemsababishia Ponda kufunguliwa kesi ya ugaidi na kukosa dhamana? Mkuu Barubaru anakuuliza toka lini mahakama ya kisutu ikahusika na migogoro ya ardhi?...

Hii Provocations za kuwataka Waislam wahamanike kisha mpate kisingizio cha kuwaita magaidi hazitafanikiwa Mkuu... Waislam wanasubra kubwa sana, wamevumilia kabla na baada ya uhuru, wameonewa sana, wamenyanyaswa sana, wamefanywa wakimbizi katika nchi yao, mufti amewahi kutimuliwa usiku wa manane!, Waislam wamenyimwa ajira, waislam wamekoseshwa elimu, waislam wamenyimwa fursa za kimaendeleo katika mikoa walioko kwa wingi wao LAKINI waislam ndo hao hao walioleta uhuru wa nchi hii, waislam ndo hao hao waliomlisha Baba wa Taifa na Familia yake...Waislam hao hao ndo wanaongoza kwa kulipa kodi hapa Tanzania! Tunashuhudia mashirika ya upande wa pili yanavyo kwepa kodi na mengine yanaingia mikataba ya kishenzi... Haya yote huwezi kuona kwakuwa Upogo wa udini umekujaa kupitiliza mkuu...
Kaa chini sikiliza hoja za waislam, hapana shaka utagundua kuwa hoja zinamshiko kwa maslahi na ustawi wa Watanzania wote tofauti kabisa na mashinikizo ya WB, IMF na MNC's zinazoendesha shughuli zake hapa Tanzania kwa mgongo wa Kanisa...

Mimi sihitaji heshima toka kwa m puuzi so hata usiponiheshimu poa tu kwakuwa uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sina haja ya kuheshimiwa nawe na wenye mawazo mgando ya kuonewa, kupuuzwa na kunyanyaswa kusiko na uhalisia wala mashiko kama wewe. Kwamba Ponda alishtakiwa kwa ugaidi hayo unayajuwa wewe.

Kwa kifupi swali langu ambalo hujalijibu na huwezi kulijibu wewe na wakurupukaji wenzio kina Crashwise ni hili...Hao wanaodai ni kiwanja chao (Ponda na wenzake) je, wana hati inayohalalisha umiliki wao? Pili, kama walivamiwa walikuwa na uhalali wa kuiba na kuharibu mali za watu?

La huyu Barubaru kama anadhani ule ni mgogoro wa ardhi basi asubirie kesi nyingine ya mgogoro wa ardhi. Hii iliyofunguliwa ni uvamizi na uharibifu wa mali.


Mimi niko kwenye Msingi wa Kesi wewe uko busy na madai ya waislamu na bado unadhani wewe ni Great Thinker!
 
Last edited by a moderator:
wenye kujua movie ya "ponda vs bakwata" tulijua tu mapema kuwa watatoa hukumu ya kuzima moto......

hata hiyo adhabu. Alopewa ni kubwa sana...sidhani kama mshitaki alijenga kesi ya maana dhidi ponda and team...tatizo media ziliipa uzito sana kesi hii wakati. Washitaki hawakuwa na shitaka la uzito huo kiushahidi...mahakama imejitahidi sana ....jamii ijichunguze kulikoni hasa?
 
mahakama kuu imemhukumu ponda kifungo cha mwaka mmoja na wenzake wameachiwa huru
 
Makahama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar Es Salaam,imemfunga kifungo cha nje cha mwaka mmoja katibu wa Jumuiya na Taasisi za KiislamTanzania Shekhe Ponda Issa Ponda,huku washtakiwa wengine wote 49 wakiachiwa huru
source ITV
 
tulijua tu! kwani walifanya kosa gani hadi wafungwe gerezani na serikali ya awamu hii ya nne?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom