Wamfunge miaka mingi ndo huyu bingwa wa kueneza udini
Mi namuombea ashinde tu ili amani idumu.. Kuna wafuasi wake huku mtaani wanasubri hukumu tu kwamba akifungwa eti wanageuka BOKO HARAM... Jamani WAKRISTO tuimarishe ulinzi nyumba za ibada..
leo ushind wakwetu lazma hak isimameNimepita ktk mahakama ya
kisutu leo nimeona waislamu kibao wamekaa nje ya uzio wa mahakama
wakisubiri kusomwa kwa hukumu ya kiongozi wao huyo huku kukiwa na police
wa usalama wakiwa washajipanga. Mliopo eneo la tukio mtupatie up
date
Lema Kesi ya Uchochezi alipewa dhamana,mbona Ponda hapewi kesi hiyo hiyo?Huu ni uonevu na double standard
Lema mwenyewe kalizungumzia hilo kama uonevu;
"Kesi ya Sheikh Ponda ni kesi yenye dhamana lakini kwa hujuma za DPP Ponda kanyima dhamana; hii si haki!", alisema Lema kwenye mkutano wa hadhara jijini Arusha siku chache baada ya yeye (Lema) kuachiwa kwa dhamana kwa shitaka la uchochezi!
Lema Kesi ya Uchochezi alipewa dhamana,mbona Ponda hapewi kesi hiyo hiyo?Huu ni uonevu na double standard
ben saanane naomba hizi thread za kesi za kidini usiwe unaingilia maana utapoteza ile sifa ya ukamanda ndugu yangu. Tukae pembeni tu
Ponda Issa Ponda leo lazima akione cha mtema kuni!
ben saanane naomba hizi thread za kesi za kidini usiwe unaingilia maana utapoteza ile sifa ya ukamanda ndugu yangu. Tukae pembeni tu
ben saanane naomba hizi thread za kesi za kidini usiwe unaingilia maana utapoteza ile sifa ya ukamanda ndugu yangu. Tukae pembeni tu
anaenda Jela miaka mitano akitoka anakuta CHADEMA tumeichukua magogoni!!