Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

Status
Not open for further replies.
Lema Kesi ya Uchochezi alipewa dhamana,mbona Ponda hapewi kesi hiyo hiyo?Huu ni uonevu na double standard

kaka hapa hujaenda sawa kimaoni unajishushia baada ya kukuona kama mtu mwenye kahekima kwa kiindi sasa, how can u mix jambo linalojulikana chanzo tena la kichama na suala hili la uchochezi wa kidini?
unafahamu mashitaka aliyonayo ponda zaidi ya hilo la uchochezi? umesahau vurugu za uchomaji makanisa au ulifurahia? umenishtua kidogo na comment yako!
 
Hii ya ponda mbona walisema kuna vitu walikamatwa navyo vinasadikaka ni vya wizi? Labda ndiyo vinamgharimu.
Lema Kesi ya Uchochezi alipewa dhamana,mbona Ponda hapewi kesi hiyo hiyo?Huu ni uonevu na double standard
 
Kwa kuwa yeye ni muislam tena muumini,
shehe wetu, kipenzi chetu, ndugu yetu, kiongozi wetu,mahakama itamfunga tu, angekuwa ni mkristo kama lwakatare ama askofu angeshaachiwa huru kitambo.
waislamu waumini tunaishi kama watumwa ndani ya nchi hii.
wakristo wakiwa kama ndio wakoloni wetu.
INSHAALLAH ALLAH amfanyie wepesi na ndio iwe sababu ya kupata pepo.
aamin yaa rabi takabal.
 
Nimepita kisutu mkusanyiko ni mkubwa na wanausalama wametanda.nashauri kama unataka kupita nia hiyo muda wa hukumu si salama sana
 
Ni matumaini yetu kuwa haki itatendeka ikizingatiwa kuwa ponda ni kiongozi wa kidini mwenye wafuasi hata kama wana imani kali.
 
>Usanii wa namna hii ndio utakao tupeleka pabaya.

Hivi sheria wanazo zitumia ni za nchi gani?
Ni zamfumo cristovao ambazo zenyewe zinalenga kumkomoa nakumkandamiza muislam. Lakini hii yote ni ktk kufikia malengo ya wachache wanaotamani kuona sikumoja TZ tuna mwagana dam, na inshaallhah siku hizo zina hesabika.
 
maombi ya watakatifu ndiyo yatakayomfunga sio siasa
 
Sijaelewa kwanini watu wanamuonea huruma muhalifu simply because ni shekhe!hata kama ni mchungaji au padre kafanya the same achukuliwe hatua ...

Wengine humu ni wanafiki sana. Wanataka kuonekana kuwa wanabalance...wengine huwa tunasimama tu katikati na we do hit towards the bush and not around the bush....Ponda ni mhalifu na sheria ichukue mkondo kama wahalifu wengine full stop!
 
Ni matumaini yetu kuwa haki itatendeka ikizingatiwa kuwa ponda ni kiongozi wa kidini mwenye wafuasi hata kama wana imani kali.

Naomba ünisaidie maana ya neno IMANI KALI. Imani kali ndio ipi hiyo?
 

Hilo la kuchoma makanisa umesema wewe wacha chuki nenda pale mahakamani uwaambie waongeze na hilo wadanganyika bwana kazi tunayo
 
ponda sio kiongozi ni mwanaharakati
anajuhudi kubwa lakin hana maarifa
nawasihi waislamu wenzangu kutumia busara ktk migogoro
na sio kukurupuka

Kama kweli wewe ni muislam siamini kama unaweza kuandika maneno hayo. Hata asiye kuwa muislam anamtambua Ponda kama Katibu wa taasisi na jumuiya za kiislam, sasa unaposema siyo kiongozi sikupati unaelewa nini kuhusu viongozi.
 
Lema Kesi ya Uchochezi alipewa dhamana,mbona Ponda hapewi kesi hiyo hiyo?Huu ni uonevu na double standard
Waislam wakisema kuwa kuna hujma na dhulma inafanyika dhidi yao kuna watu humu ndani wanawaona kama majuha! Kosa la Shikh Ponda ni nini? waislam kutumia kiwanja chao kuanzisha miradi yao ya maendeleo? Kwanin serikali inawalazimishia Waislam BAKWATA?... Haki ya mtu huwa haipotei hata siku moja...ipo siku wale wote wenye kuwadhalilisha umma wa kiislam na wao watadhalilishwa kwa nguvu ile ile ama zaidi...
 

Mkuu Return Of Undertaker, leo sio siku ya kusikiliza bali ni siku ya kusomwa kwa hukumu, Pili aliyesikiliza kesi sio Jaji bali ni hakimu.

 
Last edited by a moderator:

Kwa mtazamo finyu kama wako huu wakutaka kila anayeipenda Chadema awe na mtazamo HASI na UISLAM hata kwenye haki za msingi ndio maana mnaambiwa CDM ni chama cha kikristo, kwa kweli dhana hizi zinatufanya wapenda mabadiriko wa upande wa pili tujitafakari upya tena kwa umakini zaidi kama hili jahazi tunalodandia ni kweli linaelekea kule tunakotaraji kufika.
 

Alikuwa na hati ya hicho kiwanja ? Nondo za wenyewe mlipeleka wapi?

 
Kwa wapenda aman,hatuombei ponda afungwe.itaweza kuwa source au mwendelezo wa kutishiwa kwa aman yetu adhim.mimi siamini ktk visasi
 
ponda sio kiongozi ni mwanaharakati
anajuhudi kubwa lakin hana maarifa
nawasihi waislamu wenzangu kutumia busara ktk migogoro
na sio kukurupuka

Ume silimu lini? Nguluwe pombe na uzinifu utamwachia nani?
 
itakuwa mods bado wamelala, huu uzi unatakiwa uunganishwe kule kwenye live update
 
Sijaelewa kwanini watu wanamuonea huruma muhalifu simply because ni shekhe!hata kama ni mchungaji au padre kafanya the same achukuliwe hatua ...

Ndugu yangu Luluka, watu hatumuonei huruma ila tunachotaka kuona ni haki inatendeka, kama atakutwa na hatia kisheria na kweli imedhibitika hivyo apewe adhabu inayostahili, na kama hajakutwa na hatia kwa nini alazimishwe au ahukumiwe ili kukidhi matakwa au haja za watu fulani?

Sio suala la huruma, kama hana hatia kisheria atendewe haki! pasiingizwe maslahi binafsi hapa.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…