Hukumu ya kifo Kwa vijana wa Kuluna Gang DRC iwe fundisho Kwa panya road

Hukumu ya kifo Kwa vijana wa Kuluna Gang DRC iwe fundisho Kwa panya road

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia, kubaka, kutoboa watu macho, kukata viungo vya watu hasa wanawake ,wazee na watoto, kuuwa mifugo, kuharibu mazao n k mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo

Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa

Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC

Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo

Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang

Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tuige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC
 
Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo

Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa

Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC

Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo

Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang

Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tupige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC

Asubiri siku ICC wakimhitaji aende Kwa bashasha
 
Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo

Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa

Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC

Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo

Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang

Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tupige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC
Aisee
 
Duniani kote watoto wanalindwa why sababu they're vulnerable and naive, they're controlled by external forces, kama walikuwa wakora wao kama taifa na lina watu wazima wengi kuliko watoto, watoto hao ni zao la watu wazima ovyo. Tegemea huyo kiongozi kulipa huo udharimu wa kumwaga hiyo damu kama sio leo basi ni kesho.
 
Duniani kote watoto wanalindwa why sababu they're vulnerable and naive kama walikuwa wakora wao kama taifa na lina watu wazima wengi kuliko watoto, watoto hao ni zao la watu wazima ovyo. Tegemea huyo kiongozi kulipa huo udharimu wa kumwaga hiyo damu kama sio leo basi ni kesho.
Mtoto unajua alivyo yaani vibaka wauwaji wawe watoto unaakili timamu
 
Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo

Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa

Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC

Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo

Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang

Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tupige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC

Ni jambo zuri Sana kuwa-eliminate Wahalifu hatari kama hao ambao wamekuwa wakifanya grave crimes.
Lakini hatua hizi ziende mbele zaidi kwa kuwanyonga hadi kufa wale Watu wengine wote kabisa wanaofanya uhalifu mbaya sana unaofanana na huo kama vile Mafisadi ambao wamekuwa wakiyaangamiza kabisa haya mataifa yetu ya kiAfrika na kusababisha kuibuka kwa Magenge ya uhalifu mbaya kama haya ya vijana waporaji maarufu Kama "Kuluna" huko Congo DR au "Panya road" kwa hapa Tanzania. Mafisadi na ufisadi ndio chanzo cha kuibuka kwa mambo yote haya ya uhalifu wa Magenge ya vijana
 
Duniani kote watoto wanalindwa why sababu they're vulnerable and naive, they're controlled by external forces, kama walikuwa wakora wao kama taifa na lina watu wazima wengi kuliko watoto, watoto hao ni zao la watu wazima ovyo. Tegemea huyo kiongozi kulipa huo udharimu wa kumwaga hiyo damu kama sio leo basi ni kesho.
Koluna wamekata watu mikono, ulomi, miguu, wameua raia, wameteketeza makazi ya watu Kwa moto
Hawa wahuni utawavumiliaje?
 
Huko DRC vijana wahuni wa mtaani, wanaotishia amani Kwa kuvamia makazi na kuuwa raia mjini Kinshasa, wamehukumiwa adhabu ya kifo

Waziri wa sheria bwana Mutamba, ambaye amekuwa maarufu kwenye mitandao ya kijamii huko Kinshasa aliamuru vijana hao zaidi ya 200 kuuwawa na adhabu imetekelezwa

Watu ambao wamewahi kufika Kinshasa wamesema hakuna haja ya kuwahurumia, maana Kuluna Gang ni hatari sana DRC

Wakazi wa Kinshasa wanampongeza sana waziri Mutamba Kwa hukumu yake hiyo

Marekani na mataifa makubwa yamekaa kimya na kuonyesha kuunga mkono mauaji hayo ya Kuluna gang

Hapa kwetu Panya road na wadudu tunaowalea, nadhani tupige Congo
Hawa wahuni wanaweza baadae kuja kuwa kama Kuluna gang huko DRC
Wadudu unawaonea tu mkuu. Wadudu ile ni culture tu na wala sio vibaka au wezi.
 
Mkuu wao kama taifa wame fail hao watoto hawakuzaliwa wakiwa vibaka bali mazingira yamewa badirisha
Kwaiyo serikali iwaache watendee raia wema huo ukatili
Yaani iwaache wauwe wanawake, wajawazito, watoto, wazee na makundi maalumu Kwa kuwa tu kizazi kabla Yao kishaharibu
 
Back
Top Bottom