Hukumu ya kifo Kwa vijana wa Kuluna Gang DRC iwe fundisho Kwa panya road

Hukumu ya kifo Kwa vijana wa Kuluna Gang DRC iwe fundisho Kwa panya road

Duniani kote watoto wanalindwa why sababu they're vulnerable and naive, they're controlled by external forces, kama walikuwa wakora wao kama taifa na lina watu wazima wengi kuliko watoto, watoto hao ni zao la watu wazima ovyo. Tegemea huyo kiongozi kulipa huo udharimu wa kumwaga hiyo damu kama sio leo basi ni kesho.
Ukweli mchungu Sana ni kwamba hao vijana (siyo watoto) baadhi yao walifanya uhalifu mbaya sana kupita kiasi, hivyo wanastahili kupata adhabu kali ili iwe fundisho kwao na kwa Watu wengine katika Jamii. Isipokuwa Hukumu hiyo ya kifo imetolewa kiholela kwa Vijana hao, taratibu zote kabisa za kisheria hazikufuatwa katika kuwatia hatiani. Hivyo,wapo baadhi ya vijana wameonewa, hakustahili kuhukumiwa adhabu ya kifo, ila wapo baadhi ya vijana hao kweli kabisa wanastahili kupata adhabu kali ya kuuawa kutokana na makosa yao waliyotenda.
Kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko huu mkubwa sana katika mchakato mzima wa kuwatia hatiani, na kutokana na sababu ya umri wao kuwa bado vijana wadogo(wengi wao), Mimi binafsi naona kama adhabu nzuri zaidi kwao ni kuwafunga vifungo vya muda mrefu gerezani badala ya kuwanyonga. Wabadilishiwe adhabu na kufungwa gerezani kwa mfano wafungwe miaka hata kumi, hii itakuwa fundisho tosha kabisa kwao.
 
Ila wazungu hawatamuacha salama ukizingatia kuna wale wamarekani watatu nao wamehukumiwa kifo asee hao wakiuwawa tu Constant atapelekewa moto hatari na wazungu.
 
Ukweli mchungu Sana ni kwamba hao vijana (siyo watoto) baadhi yao walifanya uhalifu mbaya sana kupita kiasi, hivyo wanastahili kupata adhabu kali ili iwe fundisho kwao na kwa Watu wengine katika Jamii. Isipokuwa Hukumu hiyo ya kifo imetolewa kiholela kwa Vijana hao, taratibu zote kabisa za kisheria hazikufuatwa katika kuwatia hatiani. Hivyo,wapo baadhi ya vijana wameonewa, hakustahili kuhukumiwa adhabu ya kifo, ila wapo baadhi ya vijana hao kweli kabisa wanastahili kupata adhabu kali ya kuuawa kutokana na makosa yao waliyotenda.
Kutokana na kuwepo kwa mkanganyiko huu mkubwa sana katika mchakato mzima wa kuwatia hatiani, na kutokana na sababu ya umri wao kuwa bado vijana wadogo(wengi wao), Mimi binafsi naona kama adhabu nzuri zaidi kwao ni kuwafunga vifungo vya muda mrefu gerezani badala ya kuwanyonga. Wabadilishiwe adhabu na kufungwa gerezani kwa mfano wafungwe miaka hata kumi, hii itakuwa fundisho tosha kabisa kwao.
Mzee hao wote ni wahalifu walikamatwa vijana 1500 mchujo umefanyika wa Hali ya juu
 
Asubiri siku ICC wakimhitaji aende Kwa bashasha
Kuna binadamu katili hujawai ona wale wananyonga katiba ya DRC inaruhusu KUNYONGA.

Kuna binadamu kutokana na ukatili / vitendo vyao ovu wanastahili hukumu ya KIFO.

vijana wavuta Bangi, baka, choma visu , katakata watu kwa mapanga, wizi ,
 
Je chanzo cha hao vijana kua wezi na wauwaji ni kipi?

Vijana hao wakisha uliwa itakua ndio solution? Au it's the matter of time only kisha watakuja kuibuka wengine coz bado source ya tatizo itakua ipo pale pale?

Kama hukumu imetolewa na Mahakama hilo wala silipingi na wala halina mjadala.
 
Je chanzo cha hao vijana kua wezi na wauwaji ni kipi?

Vijana hao wakisha uliwa itakua ndio solution? Au it's the matter of time only kisha watakuja kuibuka wengine coz bado source ya tatizo itakua ipo pale pale?

Kama hukumu imetolewa na Mahakama hilo wala silipingi na wala halina mjadala.
Kuna vitu vinavumilika ila sio mauji ya raia wema
Uhai hauna replacement
Ulikuwa utauliwa, wajifunze kuthamini uhai uhai
 
DRC ni nchi yenye vikundi vidogo na vikubwa vya wahuni na waasi .... na vyote vinamiliki mitutu
Serikali ilichofanya n kutuma meseji kwa vikundi vingine vyote na raia kwa ujumla

Kwasasa amna mzazi au ndugu atamchekea mwanae kukaa na wahuni kizembe, pia vijana ambao wapo kwenye hayo makundi yalosalia wenye roho ndogo sahv watakuwa wamerudi kwao kulima

Mda mwingine ili upone jipu lazima ukubali maumivu ya kuliminya kwa nguvu
 
Wakongo wanasema hao watoto ni wa madereva wa transit kutoka Tanzania 😹

Walimkamata dereva walimuingilia mtungo, unaambiwa hao watoto wanabaka mchana kweupe na watu wanashuhudia na polisi wanaona… ni haki yao kunyongwa
 
Back
Top Bottom