Hukumu ya rufani ya Sabaya kupinga kifungo cha miaka 30 jela kutolewa leo Mei 6, 2022

Hukumu ya rufani ya Sabaya kupinga kifungo cha miaka 30 jela kutolewa leo Mei 6, 2022

Kama aliua na kumbaka Marehemu kwanini hapunguziwe kifungo.
 
Hukumu inathibitishwa leo. Akakate rufaa mahakama ya rufaa.
 
,kumamamamae,eti Jenerali Sabaya,mfyuuuuuuu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Furaha ikizidi sana huzaa majanga,mkuu huogopi ban?
 
Hii kesi Ilikuja kukosa ushahidi mwingi na kujaa mauza uza, kifupi ni kweli ilipelekwa kama kesi ya jinai lakini inaonekana pia imejaa maslahi ya watu wa matabaka mawili.

Kwasasa ni ya kupoteza tu muda.
Hii Kesi ikipata Judge makini, anaitungua Hukumu ya Odira Asubuhi SAna. Judgement Ile Iko week Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii kesi Ilikuja kukosa ushahidi mwingi na kujaa mauza uza, kifupi ni kweli ilipelekwa kama kesi ya jinai lakini inaonekana pia imejaa maslahi ya watu wa matabaka mawili.

Kwasasa ni ya kupoteza tu muda.
Heeeee!!!kwa ushahidi ule kamwe sabaya hawezi kuchomoka, tuache mahaba, eti kesi ilikosa ushahidi daaa!!!
 
Hii kesi Ilikuja kukosa ushahidi mwingi na kujaa mauza uza, kifupi ni kweli ilipelekwa kama kesi ya jinai lakini inaonekana pia imejaa maslahi ya watu wa matabaka mawili.

Kwasasa ni ya kupoteza tu muda.
Tusubiri hukumu ya rufaa
 
Hii Kesi ikipata Judge makini, anaitungua Hukumu ya Odira Asubuhi SAna. Judgement Ile Iko week Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Jipe moyo,Sabaya alikuwa JAMBAZI kama MAJAMBAZI mengine tu,Rufaa hii hachomoi na ile Kesi nyingine Hukumu yake mwisho wa mwezi huu,atafungwa tena miaka 30 Jela Kisongo,hachomoi
 
$abaya Kama hataki kufungwa miaka 30 anataka kufungwa mingapi?
Aendelee kumfulia nguo nyapara na yeye baada ya miaka kumi ataupata unyapara na ataruhusiwa kunyanyasa watu wengine.
 
Back
Top Bottom