Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Chozi la huyu b'mkubwa bado linamlilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipingekuwa mimi hakimu najitoka katika shauri hilooo
Kwani ye nani hadi kwa msamahaApunguziwe zibaki 10 tuu akikaa 5 , tano atoke kwa msamaha ni fundisho tosha
Duh kama ni kweli aliyafanya yote haya, apewe mingine 30Kama aliua na kumbaka Marehemu kwanini hapunguziwe kifungo.
Na Mungu Ni mkubwaDuh kama ni kweli aliyafanya yote haya, apewe mingine 30
Furaha ikizidi sana huzaa majanga,mkuu huogopi ban?,kumamamamae,eti Jenerali Sabaya,mfyuuuuuuu![]()
![]()
![]()
![]()
Hii Kesi ikipata Judge makini, anaitungua Hukumu ya Odira Asubuhi SAna. Judgement Ile Iko week SanaHii kesi Ilikuja kukosa ushahidi mwingi na kujaa mauza uza, kifupi ni kweli ilipelekwa kama kesi ya jinai lakini inaonekana pia imejaa maslahi ya watu wa matabaka mawili.
Kwasasa ni ya kupoteza tu muda.
Tupo pa1Aongezewe 30 ama mnasemaje Ndugu zangu?
Marehemu yupi?!Kama aliua na kumbaka Marehemu kwanini hapunguziwe kifungo.
Heeeee!!!kwa ushahidi ule kamwe sabaya hawezi kuchomoka, tuache mahaba, eti kesi ilikosa ushahidi daaa!!!Hii kesi Ilikuja kukosa ushahidi mwingi na kujaa mauza uza, kifupi ni kweli ilipelekwa kama kesi ya jinai lakini inaonekana pia imejaa maslahi ya watu wa matabaka mawili.
Kwasasa ni ya kupoteza tu muda.
Tusubiri hukumu ya rufaaHii kesi Ilikuja kukosa ushahidi mwingi na kujaa mauza uza, kifupi ni kweli ilipelekwa kama kesi ya jinai lakini inaonekana pia imejaa maslahi ya watu wa matabaka mawili.
Kwasasa ni ya kupoteza tu muda.
Hakika [emoji120][emoji120]Tusubiri hukumu ya rufaa
Jipe moyo,Sabaya alikuwa JAMBAZI kama MAJAMBAZI mengine tu,Rufaa hii hachomoi na ile Kesi nyingine Hukumu yake mwisho wa mwezi huu,atafungwa tena miaka 30 Jela Kisongo,hachomoiHii Kesi ikipata Judge makini, anaitungua Hukumu ya Odira Asubuhi SAna. Judgement Ile Iko week Sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tena ushahidi wa waziwaziHeeeee!!!kwa ushahidi ule kamwe sabaya hawezi kuchomoka, tuache mahaba, eti kesi ilikosa ushahidi daaa!!!
Sabaya kuchomoka ni ngumu snJipe moyo,Sabaya alikuwa JAMBAZI kama MAJAMBAZI mengine tu,Rufaa hii hachomoi na ile Kesi nyingine Hukumu yake mwisho wa mwezi huu,atafungwa tena miaka 30 Jela Kisongo,hachomoi
Kashachomoka Sasa... Sabaya Yuko MtaaniSabaya kuchomoka ni ngumu sn