Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kaachiwa sasa tuone kama hatoishiSio Arusha..watu wa Arusha sio waoga kama wa kule kijijini kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaachiwa sasa tuone kama hatoishiSio Arusha..watu wa Arusha sio waoga kama wa kule kijijini kwenu
ameachiwa huru kanywe sumu sasa pimbi wewe na mapimbi wenzakoAongezewe 30 ama mnasemaje Ndugu zangu?
Mkuu hii nchi ni ngumu sana, hata kwa viumbe hai kuishi, daaaTena ushahidi wa waziwazi
Nani kagongwa kati ya sabaya na wewe?Hii Rufaa INAGONGA MWAMBA,kisha tarehe 31 kwenye ile Hukumu ya Kesi nyingine anagongwa miaka 30 mingine Jela na kazi ngumu,kumamamamae,eti Jenerali Sabaya,mfyuuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu lazima utukane?ameachiwa huru kanywe sumu sasa pimbi wewe na mapimbi wenzako
lazima eh kwani vp ?Mkuu lazima utukane?
Habari yako mkuu [emoji3][emoji3]Hii Rufaa INAGONGA MWAMBA,kisha tarehe 31 kwenye ile Hukumu ya Kesi nyingine anagongwa miaka 30 mingine Jela na kazi ngumu,kumamamamae,eti Jenerali Sabaya,mfyuuuuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujambo Mkuu [emoji846][emoji846]Labda anatolewa chooni,lakini kama ni Jela hatoki Jambazi huyu matako yake,iwe Jua iwe Mvua anagonga mwamba leo,tayari nipo Mahakamani hapa Arusha namsubiri nione atakavyojinyea leo Jenerali wa mchongo
[emoji846][emoji846]Anakula 60
Tunaomba update Mkuu [emoji846][emoji846]Heeeee!!!kwa ushahidi ule kamwe sabaya hawezi kuchomoka, tuache mahaba, eti kesi ilikosa ushahidi daaa!!!
Imekuwaje huo ushahidi wa wazi,matokeo ya rufaa yapoje kwa sasa [emoji3][emoji3]Tena ushahidi wa waziwazi
Michezo ya sarakasi[emoji846][emoji846]
Endelea kusubiriACHA uongo na kujipa moyo