King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Inasikitisha sana ,utasikia wanakata rufaa kisha wanatoka kama Jambazi ole sabaya...hatutokubali ikitokea hiyo."Muombe msamaha afande"
Unaishi wapi "buza",
Buza sehemu gani" shule"
Utarudia ?sirudii.
Yaani ile interview yao ndo inayoumiza watu.kuliko kitendo chenyewe.
Walikuwa wanajiona miungu watu..."Muombe msamaha afande"
Unaishi wapi "buza",
Buza sehemu gani" shule"
Utarudia ?sirudii.
Yaani ile interview yao ndo inayoumiza watu.kuliko kitendo chenyewe.
Akimaliza soda namuongeza na laki moja ya petrol.Hakimu awahi kwa mangi apate soda bili kwangu.
Bora kifungo cha ndani nyumban lakin kuliko jela 😂.Huoni hicho nacho ni kifungo "cha ndani"
Umesikia kilichompata bwanako??wamefungwa maisha kkkenge wewe!! Unadhani serikali inacheka na wajinga mmmbwa wewekama bwana ako hakimu kakudanganya anawalima maisha ilikuwa gia ya kukufariji ili aku p diddy mkuu pole sana
Nambie sasa, ni kweli au ni uongo?Usiamini kila taarifa ya humu
Hii mkuu niko na nyagi ogM
Mkuu upo beer ya ngapi?
😂
Humu kuna watu wa kila aina bibie,usiwe unabisha na kutukana tu kama tahira, si nilikuambia wanachezea kifungo cha maisha, sasa shukuru bwanako atatoka kwenye rufaakama bwana ako hakimu kakudanganya anawalima maisha ilikuwa gia ya kukufariji ili aku p diddy mkuu pole sana
Ni kweli, na ni ukweli na uhakika.Usiamini kila taarifa ya humu
Ikiwa ushahidi umekamilika kwa Hakimu haichukui muda mrefu.Kumbe kesi zinaweza kwenda haraka hivi
Angekuwa tz ashajua mustakabali wake mapema sanaa dah kwa usa kazi anayooKumbe kesi zinaweza kwenda haraka hivi
Kwa nini unajiita PdidyPdidy anataman
Angekuwa tz ashajua mustakabali wake mapema sanaa dah kwa usa kazi anayoo
Anawananiliu watuKwa nini unajiita Pdidy
Pdidy ile dompo imeishaPdidy anataman
Angekuwa tz ashajua mustakabali wake mapema sanaa dah kwa usa kazi anayoo
Maana katenda haki.Akimaliza soda namuongeza na laki moja ya petrol.