God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Ngoja tusubir muda Ila hata ikiwa vinginevyo haiwezi kua Life sentence.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tusubir muda Ila hata ikiwa vinginevyo haiwezi kua Life sentence.
DVD?kumbukwe, Wakili wa Utetezi, Godfrey Wasonga, alisema Ushahidi wa Video uliowasilishwa Mahakamani unatofautiana na madai ya Mitandao ya Kijamii, akibainisha kuwa DVD iliyochezwa Mahakamani haikuonesha wazi sura za wahusika wala kitendo chochote kilichokuwa kikifanyika
kwa statement hiyo hapo juu wameshashinda.....take note of this
Yaani watu hawapo makini kugundua vitu vidogo kama hivyo ,post inaonekana kabisa 5hrs ago.Tuliambiwa hukum ni saa 8, hiyo post ni 5 hours mean imetolewa saa tano.
Which is which
Hadi kwao.kama kuna mwingine mjeda abake alafu ajirekodi.Utanitag kwenye hukumu. Funzo kwa jamii nakubali, lakini funzo kwa wajeshi ni ndoto labda kama sio Tanzania
Umesoma wapi?Nimesoma wamepigwa mvua ya maisha na faini ya milioni 1 kila mtu kumlipa binti
Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha JelaU
Umesoma wapi?
Weka Ushahidi hapa
Fafanua… Wana kinga ya kushtakiwa?Utanitag kwenye hukumu. Funzo kwa jamii nakubali, lakini funzo kwa wajeshi ni ndoto labda kama sio Tanzania
Sure? Kama ni kweli haki imetendeka na imeonekana kutendeka.Mvua za maisha.
Wao walikataa kuwa hawajatumwa na afande .utawasaidia vipi?wameamua kufa kijerumani.bora wangekubali wametumwa mahakama ingeweza kuwasaidia.lakini sasa wanekataa inaonekana wamebaka kwa mapenzi yao.sio kutumwaSure? Kama ni kweli haki imetendeka na imeonekana kutendeka.
Swali: Tutakuwa na uhakika gani kwamba wameenda Ngome aka Lupango?
Afande ameepuka vipi Kikombe?
Safi wamepewa haki yao ya kikatiba kwa kumlinda Afande.Wao walikataa kuwa hawajatumwa na afande .utawasaidia vipi?wameamua kufa kijerumani.bora wangekubali wametumwa mahakama ingeweza kuwasaidia.lakini sasa wanekataa inaonekana wamebaka kwa mapenzi yao.sio kutumwa
Wewe wasema, lakini uelewe kuwaWakirudi mtaani tutakata dude zao!
Safiiiiii ,Safiiiii sanaaaa na iwe Fundisho kwa WASHENZI design ya kina Nyundo.Hili tumemaliza salama