Bull Striker
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 456
- 1,003
Kuliko kwenda Jela maisha Kwa umri ule Bora nife...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwel, mimi mzee wangu enz akiwa na influence mkoa mmoja hapo nyanda za juu kusini magharibu, baba mdogo alikuhukumiwa jela ila akawa analala home, gerezan ilikua analala mara moja moja sana mpaka siku anamaliza kifungo, ila ndio alikua full time ndaniHawa watu hata wakihukumiwa kifungo hawaendi jela. Jambo moja ambalo Watanzania hawajui ni kwamba kuna watu wanahukumiwa kwenda jela lakini hawapelekwi jela. Nani amewahi kufuatilia kama mtu aliehukumiwa kwenda jela kweli yupo gereza fulani?
Kuna baadhi ya wahukumiwa wenye connection na CCM na serikali, wakihukumiwa wanambiwa wabadili majina waende kuishi mahali wakiwa wameficha utambulisho wao hadi kifungo chao kiishe. Unahukumiwa kama Mudy Ramadhani hapa Dar, unaambiwa nenda Kibondo kaishi kama Kalumanzila hadi kifungo chako kiishe, usiwasiliane na watu wanaokufahamu!
Hawatoboi.wakili wao anataka wapewe haki gani wakati walibaka kwa starehe zao?Hukumu ni saa 8 mchana.
View attachment 3111153
Alaf huyu wa mbele ndio alikuwa ananyonywa dude akataka kumpiga na chupa binti wa watu jamanHukumu ya kesi ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam inayowakabili washtakiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na wa Magereza, itatolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024.
Kesi hiyo ya jinai namba 23476 ya mwaka 2024 inawakabili washtakiwa wanne akiwamo MT 140105 Clinton Damas, maarufu Nyundo ambaye ni askari wa JWTZ, askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Nickson Jackson ‘Machuche’ na Amin Lema anayejulikana pia kwa jina la Kindamba.
Soma:
=> Kesi ya waliotumwa na afande kubaka na kulawiti yaendelea leo
=> Yanayojiri kesi ya "Binti wa Yombo": Daktari aliyempima Binti aliyebakwa na Maafisa wa Jeshi atoa ushahidi Mahakamani
=> Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani
Endapo kama Maelezo haya yana Ukweli, Basi naamini kwa dhati kabisa kwamba wataachiwa huru hao watuhumiwa.kumbukwe, Wakili wa Utetezi, Godfrey Wasonga, alisema Ushahidi wa Video uliowasilishwa Mahakamani unatofautiana na madai ya Mitandao ya Kijamii, akibainisha kuwa DVD iliyochezwa Mahakamani haikuonesha wazi sura za wahusika wala kitendo chochote kilichokuwa kikifanyika
kwa statement hiyo hapo juu wameshashinda.....take note of this
kama bwana ako hakimu kakudanganya anawalima maisha ilikuwa gia ya kukufariji ili aku p diddy mkuu pole sanaWanafungwa maisha hao,we jipe matumaini tu,bwanako anaenda kuchezea kifungo
Makubwa Tanzagizaa, hatuoni mbele mwana waneZa chini ya godoro zinasema wameshinda kesi.kesi imeamuliwa hawakutenda kosa.lakini inasemekana jaji alipigiwa simu japo hiyo simu haikujulikana ni ya nani
wamepigwa maishaNaangaliataarifa ya habari kwa ufupi upendo TV wanassema ile kesi ya kubaka kabinti mpaka kuitaa naomba maji inaamuliwa leo
Wenye kutujuza .mtujuze nn kimeamuliwa huko..
Pole sana kabinti
wamefungwa maishaZa chini ya godoro zinasema wameshinda kesi.kesi imeamuliwa hawakutenda kosa.lakini inasemekana jaji alipigiwa simu japo hiyo simu haikujulikana ni ya nani
Ni kweli au ??wamepigwa maisha
ni kweli nduguNi kweli au ??
Afadhaki maana nilikuwa nawaza wangetoka sijui ingekuwaje mtaani Yule nwandishi aliyetishiwa kwa kuwapiga picha na mimi mwenyewe usalama wangu maana tungeibiwa mpaka tukome sidhani kama wangepata kazi ya halali wale wabakajiwamepigwa maisha
Sawa Pdidy wangu, ukipata habari unijulishenaangalia itv wanasema inaskmwa saa nane hivi sasa n saa tisa na dk 23 niko pale kwa kavishe pub
Sawa Pdidy wangu, ukipata habari unijulishe
Heee jamani na dompo uko nayo pembeni jaman PDidy weyeeNaendelea kudodosa mpwa gapa na dompo sifungui.mpaka nijue mwisho wao
Hahahaaa dompooo tu mkuu sina vilainishii mkuu usiwe nahofuHeee jamani na dompo uko nayo pembeni jaman PDidy weyee
Alifichwa Moja Kwa MojaKamanda sijajua alipo