Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaongezaaaa wabakaji na walawiti ngoja tusikieZa chini ya godoro zinasema wameshinda kesi.kesi imeamuliwa hawakutenda kosa.lakini inasemekana jaji alipigiwa simu japo hiyo simu haikujulikana ni ya nani
Kwa case ile hakuna wa kufungwa, ndo maana hata case za RC zimeyeyuka km upepoo.Za chini ya godoro zinasema wameshinda kesi.kesi imeamuliwa hawakutenda kosa.lakini inasemekana jaji alipigiwa simu japo hiyo simu haikujulikana ni ya nani
Inamaana umjui PDidy wewe!Elimu ya Tz n tia maji tia maji sana, umehtimu la 7 lakini hujui kuandika kijana?
Mkuu ifuatilie hiyo I'd miaka ya 2008 ilikuwa ina madini kinoma sijui amerithishwa mtu? Au sijui anaitumia Mtoto wake ?
Unamaanisha pdiddy ni Kubwa Jinga?Inamaana umjui PDidy wewe!
Kumbe wewe ni wa 2018 hapa jf!
Akili yako fupi!Unamaanisha pdiddy ni Kubwa Jinga?
Hukumu ni saa 8 mchana.Naangaliataarifa ya habari kwa ufupi upendo TV wanassema ile kesi ya kubaka kabinti mpaka kuitaa naomba maji inaamuliwa leo
Wenye kutujuza .mtujuze nn kimeamuliwa huko..
Pole sana kabinti
Wewe ndiye NYUNDO!Wameshashinda tayari
Obvious hii ngoma ishakua nyepes maana polita walipeleka ushahid lege lege Kwa makusudkumbukwe, Wakili wa Utetezi, Godfrey Wasonga, alisema Ushahidi wa Video uliowasilishwa Mahakamani unatofautiana na madai ya Mitandao ya Kijamii, akibainisha kuwa DVD iliyochezwa Mahakamani haikuonesha wazi sura za wahusika wala kitendo chochote kilichokuwa kikifanyika
kwa statement hiyo hapo juu wameshashinda.....take note of this
Kama tu mtandaoni tumeona sura za hao wabakaji halafu tunaambiwa video walizoziòna mahakamani hazina sura hauoni kama hii kesi imegusa wakubwa?Wewe ndiye NYUNDO!
Mimi siamini katika hili.naamini watu wanafungwa kama kuna ushahidi wa hili jambo basi tupe ili tuaminiHawa watu hata wakihukumiwa kifungo hawaendi jela. Jambo moja ambalo Watanzania hawajui ni kwamba kuna watu wanahukumiwa kwenda jela lakini hawapelekwi jela. Nani amewahi kufuatilia kama mtu aliehukumiwa kwenda jela kweli yupo gereza fulani?
Kuna baadhi ya wahukumiwa wenye connection na CCM na serikali, wakihukumiwa wanambiwa wabadili majina waende kuishi mahali wakiwa wameficha utambulisho wao hadi kifungo chao kiishe. Unahukumiwa kama Mudy Ramadhani hapa Dar, unaambiwa nenda Kibondo kaishi kama Kalumanzila hadi kifungo chako kiishe, usiwasiliane na watu wanaokufahamu!