God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Hao jamaa Leo wanaenda kuanza maisha mapya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Yule Kamanda WaoHao jamaa Leo wanaenda kuanza maisha mapya
Watachomoka kwenye rufaa
Na Yule Kamanda Wao
sio kwa Tanzania hii ya kibwegeHao jamaa Leo wanaenda kuanza maisha mapya
sio kwa Tanzania hii ya kibwege
Mhusika nae hakuwatambua?kumbukwe, Wakili wa Utetezi, Godfrey Wasonga, alisema Ushahidi wa Video uliowasilishwa Mahakamani unatofautiana na madai ya Mitandao ya Kijamii, akibainisha kuwa DVD iliyochezwa Mahakamani haikuonesha wazi sura za wahusika wala kitendo chochote kilichokuwa kikifanyika
kwa statement hiyo hapo juu wameshashinda.....take note of this
Duh hii mpyaa aiseeHawa watu hata wakihukumiwa kifungo hawaendi jela. Jambo moja ambalo Watanzania hawajui ni kwamba kuna watu wanahukumiwa kwenda jela lakini hawapelekwi jela. Nani amewahi kufuatilia kama mtu aliehukumiwa kwenda jela kweli yupo gereza fulani?
Kuna baadhi ya wahukumiwa wenye connection na CCM na serikali, wakihukumiwa wanambiwa wabadili majina waende kuishi mahali wakiwa wameficha utambulisho wao hadi kifungo chao kiishe. Unahukumiwa kama Mudy Ramadhani hapa Dar, unaambiwa nenda Kibondo kaishi kama Kalumanzila hadi kifungo chako kiishe, usiwasiliane na watu wanaokufahamu!
YapKhaaaa walitiwa hatianiii
Kuna Ukweli kuhusu suala hili.Hawa watu hata wakihukumiwa kifungo hawaendi jela. Jambo moja ambalo Watanzania hawajui ni kwamba kuna watu wanahukumiwa kwenda jela lakini hawapelekwi jela. Nani amewahi kufuatilia kama mtu aliehukumiwa kwenda jela kweli yupo gereza fulani?
Kuna baadhi ya wahukumiwa wenye connection na CCM na serikali, wakihukumiwa wanambiwa wabadili majina waende kuishi mahali wakiwa wameficha utambulisho wao hadi kifungo chao kiishe. Unahukumiwa kama Mudy Ramadhani hapa Dar, unaambiwa nenda Kibondo kaishi kama Kalumanzila hadi kifungo chako kiishe, usiwasiliane na watu wanaokufahamu!
Mkuu ifuatilie hiyo I'd miaka ya 2008 ilikuwa ina madini kinoma sijui amerithishwa mtu? Au sijui anaitumia Mtoto wake ?Elimu ya Tz n tia maji tia maji sana, umehtimu la 7 lakini hujui kuandika kijana?
Waachiwe kwa utetezi upi? yule afande ana kesi yake inajitegemeaKama shahidi muhimu kama afande hajapandishwa kizimbani na kuunganishwa nao wanaweza kuachiliwa huru