Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dompo inatengeneza vilainishi asilia jamani vinamwagikaaa tuuHahahaaa dompooo tu mkuu sina vilainishii mkuu usiwe nahofu
Pdidytz
Kama ni uongo itabidi ule banwamepigwa maisha
Sty tuned mkuuNini kinaendelea huko mahakamani mtujuze wadau
Nina uhakika unaamini pia kwamba hela za mikopo na misaada tola nje na miradi zinatumika inavyostahili, na kama tunasema si kweli tukupe ushahidi ili uamini!Mimi siamini katika hili.naamini watu wanafungwa kama kuna ushahidi wa hili jambo basi tupe ili tuamini
Wewe unafanya mchezo na chama tawala, nchii hii ina wenyewe bwana. Labda niulize, yule mkurugenzi aliempiga risasi ya kichwa muumini wa sabato yuko wapi?Kuna Ukweli kuhusu suala hili.
Niishie tu hapa, sitaki kueleza zaidi.
Utanitag kwenye hukumu. Funzo kwa jamii nakubali, lakini funzo kwa wajeshi ni ndoto labda kama sio TanzaniaHii kesi maamuzi yoyote yatakayofikiwa yatakuwa yametoa fundisho kwa jamii.
Na hasa kwa wanajeshi wetu.
Jeshi limepewa heshima kubwa ya kulinda Amani dhidi ya raia.
Tuna Imani nao.
Vijana wajue hilo.
Sahihi..!sio kwa Tanzania hii ya kibwege
Za chini ya godoro zinasema wameshinda kesi.kesi imeamuliwa hawakutenda kosa.lakini inasemekana jaji alipigiwa simu japo hiyo simu haikujulikana ni ya nani
Usiamini kila taarifa ya humuKama ni uongo itabidi ule ban
Mbona mirradayo kasema wamepewa nyundo za maisha“Beyond a Reasonable Doubt” mahakama imewaachilia HURU.
Ngoja tusubir muda Ila hata ikiwa vinginevyo haiwezi kua Life sentence.Mbona mirradayo kasema wamepewa nyundo za maisha