Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wamekula cha maisha jela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofkooz wale jamaa wangepata nafuu pale kila mtu hamsini mana kosa dogo pale lina miaka 9 jela na ni la madawa ya kulevya tu. Hayo mengne 5 yote ni miaka 15 mpaka 30 na yako matanoNimesoma wamepigwa mvua ya maisha na faini ya milioni 1 kila mtu kumlipa binti
Maishaaaaaa wweeeewee maandamano yake 23sept chamtotoMbona mirradayo kasema wamepewa nyundo za maisha
MKUUU WAMEPIGWA MAISHAAAMods vipi? Hamuitendei haki JF ,mpaka sasa hatuna uhakika kama hukumu ni kweli au lah ,nilitegemea muweke Red Alert au Breakin news kwenye thread ,maana hapa tunachangia huku 50/50(Hatuna uhakika).
HAKIKAAA MKUUU M NIMETOKA DODOMA MAJUZI KUNA JAMAA WALIKUJA NA KAMPENI WATOKEEE WEEEE AKANIAMBIA MTU KAMA NDUGUZAKOO WAKUANDIKIE URITHI MAPEMAAATunashukuru watu wote waliopiga kelele kuhusu suaa hili. HAKI IMEPATIKANA.
Huoni hicho nacho ni kifungo "cha ndani"Ni kwel, mimi mzee wangu enz akiwa na influence mkoa mmoja hapo nyanda za juu kusini magharibu, baba mdogo alikuhukumiwa jela ila akawa analala home, gerezan ilikua analala mara moja moja sana mpaka siku anamaliza kifungo, ila ndio alikua full time ndani
Mkuu upo beer ya ngapi?HAPAAA NIKO BAR WANAPIGAAAAAA
NYIMBOOO YA MAMBOOO MAKUBWAAA
ZAIDI YA NIOMBAVYOOOOOOOO
UNAWEZAAA KUFANYAAAA UNAWEZAA KUTENDAAA YALEE MAMBOOO ZAIDI YA NIOMBAVYOOOOO.......
ISIJEPOA NYAGIYANGU
Duh!..Ni kwel, mimi mzee wangu enz akiwa na influence mkoa mmoja hapo nyanda za juu kusini magharibu, baba mdogo alikuhukumiwa jela ila akawa analala home, gerezan ilikua analala mara moja moja sana mpaka siku anamaliza kifungo, ila ndio alikua full time ndani
"Muombe msamaha afande"Safiiiiii ,Safiiiii sanaaaa na iwe Fundisho kwa WASHENZI design ya kina Nyundo.
Hakimu awahi kwa mangi apate soda bili kwangu.Ngoja nikanywe serengeti mbili kwa niaba ya jaji.Yule aliyetaka jokali alijazwa na Bushloya mpaka akijiamino sasa akitoka jela waoane na yule muhandishi wa habari wa kike.