Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Wanasayansi wanasema pamoja na kizazi hiki chetu cha karne ya 21 kuwa na maarifa tele, ni 10% tu ya ubongo ndiyo iliyofanya kazi kiufasaha, lakini zaidi ya 90% bado haijatumika kabisa.nakubaliana na wewe bongo zetu zinauwezo sana, na sehemu iliyobaki ambayo hajaijua bado kuhusu ubongo ni kubwa kuliko tuliopata kuijua, but kuna some scope wanascience wamejaribu kuzipambanisha na super computers.