Human Rights Watch: Tanzania inakandamiza Wakosoaji wa Mkataba wa Ubinafsishaji Bandari
Kipindi cha Magufuli huyo Mwakubusi sasa hivi angekuwa hafahamiki alipo
Ni kwa sababu kipindi cha Magufuri Serikali ilkuwa makini kwenye mambo si rahisi kupata nafasi ya kuikosoa, zaidi ulikuwa ni ule wimbo tuliuzoea kwa wapinzani ETI "Demokrasia" hahaha
 
Ni kwa sababu kipindi cha Magufuri Serikali ilkuwa makini kwenye mambo si rahisi kupata nafasi ya kuikosoa, zaidi ulikuwa ni ule wimbo tuliuzoea kwa wapinzani ETI "Demokrasia" hahaha
Magufuli alikuwa ni jambazi, afadhali alikufa, kama aliuawa aliyemuua ni mzalendo kweli kweli
 
Sisi wenyewe tumebadirikana na kuwa maadui mpaka tunataka kuua sababu ya mtu mweupe, ukoloni fulani hivi...,
 
Back
Top Bottom