Ni kwa sababu kipindi cha Magufuri Serikali ilkuwa makini kwenye mambo si rahisi kupata nafasi ya kuikosoa, zaidi ulikuwa ni ule wimbo tuliuzoea kwa wapinzani ETI "Demokrasia" hahaha
Ni kwa sababu kipindi cha Magufuri Serikali ilkuwa makini kwenye mambo si rahisi kupata nafasi ya kuikosoa, zaidi ulikuwa ni ule wimbo tuliuzoea kwa wapinzani ETI "Demokrasia" hahaha