Humble African vs The bold

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kwa mtazamo wako mwana jf katika hao manyalali tajwa hapo juu nani mkali kwenye uandishi naomba nisiwe na upande tiririka mwenyewe
 
Nimejifunza kitu kimoja,kuna watu huwa wanafanya vitu na kuna watu huwa wanalinganisha vitu wkt kila treni inapita njia yake!..
 
Umejoin jf 31-jan-2018 sishangai uzi wako
 
Kwa mtazamo wako mwana jf katika hao manyalali tajwa hapo juu nani mkali kwenye uandishi naomba nisiwe na upande tiririka mwenyewe
Mimi napenda kumsoma Humble African yuko genuine mno akiandika Bold anajua ila anacopy mno kazi zake kutoka sehemu. Hiyo ndo tofauti yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…