Humble African vs The bold

Humble African vs The bold

Nlichotaka Kuandika,ila pia tusipende kuwalinganisha tuwape moyo na motisha,its not healthy kuwalinganisha bana

Watanzania U-Team umetuzidi, kuna culture ya kupenda kushushana. Nakumbuka kuna thread niliwahi kuisoma aliandika Eiyer (Huyu kwangu ni mtaalamu wa conspiracies related issues na all issues za secret societies), sasa akaibuka member mmoja na kuanza kuponda kwamba hata aandike vipi hawezi kumfikia The Bold.

Sasa baada ya Threads kadhaa za Humble African kubamba humu, swaga za The Bold zinaibuka hapa.
 
Hapa sasa ni balaa,ila kwa mtazamo wangu,THE BOLD ukichanganya na vile vionjo nampa KURA
 
Kuna vitu vingi sana mnaweza kumnyang'anya bold Lakini hamuwezi kuondoa ukweli kwamba bold ni miongoni mwa waandishi wazuri kuwahi kuandika hapa JF.

Unajua wazungu huwa wanaamini kwamba bahati inatokea pindi maandalizi yanapokutana na nafasi yaani "lucky happens when preparation meets opportunity" hivyo bahati tafsiri yake ni maandalizi sahihi yanapokutana na fursa... Sasa bold ili bahati yake ikamilike ni sharti akutane na nafasi sahihi maana kama ni maandalizi anayo ya kutosha sana...!

Bold ana mshumaa ila anauwashia chini ya Meza... Ila siku akijipekecha kimkakati na kuwafikia watu wake wengi anaweza kupunguza ukali wa maisha kwa kalamu yake kama Shigongo vile.

Declaration Mimi ni casual and amateur writer tu ila bold anaqualify kuwa professional and rhetoric writer.

Hivyo, habib B. Anga ni mwandishi mzuri kuliko Mimi humble African.

[emoji176]
 
Kuna vitu vingi sana mnaweza kumnyang'anya bold Lakini hamuwezi kuondoa ukweli kwamba bold ni miongoni mwa waandishi wazuri kuwahi kuandika hapa JF.

Unajua wazungu huwa wanaamini kwamba bahati inatokea pindi maandalizi yanapokutana na nafasi yaani "lucky happens when preparation meets opportunity" hivyo bahati tafsiri yake ni maandalizi sahihi yanapokutana na fursa... Sasa bold ili bahati yake ikamilike ni sharti akutane na nafasi sahihi maana kama ni maandalizi anayo ya kutosha sana...!

Bold ana mshumaa ila anauwashia chini ya Meza... Ila siku akijipekecha kimkakati na kuwafikia watu wake wengi anaweza kupunguza ukali wa maisha kwa kalamu yake kama Shigongo vile.

Declaration Mimi ni casual and amateur writer tu ila bold anaqualify kuwa professional and rhetoric writer.

Hivyo, habib B. Anga ni mwandishi mzuri kuliko Mimi humble African.

[emoji176]
Mimi ni Humble tu
 
Kuna vitu vingi sana mnaweza kumnyang'anya bold Lakini hamuwezi kuondoa ukweli kwamba bold ni miongoni mwa waandishi wazuri kuwahi kuandika hapa JF.

Unajua wazungu huwa wanaamini kwamba bahati inatokea pindi maandalizi yanapokutana na nafasi yaani "lucky happens when preparation meets opportunity" hivyo bahati tafsiri yake ni maandalizi sahihi yanapokutana na fursa... Sasa bold ili bahati yake ikamilike ni sharti akutane na nafasi sahihi maana kama ni maandalizi anayo ya kutosha sana...!

Bold ana mshumaa ila anauwashia chini ya Meza... Ila siku akijipekecha kimkakati na kuwafikia watu wake wengi anaweza kupunguza ukali wa maisha kwa kalamu yake kama Shigongo vile.

Declaration Mimi ni casual and amateur writer tu ila bold anaqualify kuwa professional and rhetoric writer.

Hivyo, habib B. Anga ni mwandishi mzuri kuliko Mimi humble African.

[emoji176]
Saluteeee!!!
 
Habibu ni mtata sana ila Apunguze Chumvi isiwe nyingi inakera.
 
Mimi ni Humble tu
Ahahaha! Unajua kinachokufanya unielewe ni sababu ya ushkaji wangu na wewe... Maana vita yako huwa ni Vita yangu pia, nikikukuta unapigana kwenye keyboard mtandaoni huwa najoin kwanza battle then later ndio nauliza sababu ya ugomvi.

Mimi Mam Sabrina tu! [emoji7] [emoji119]
 
Kuna vitu vingi sana mnaweza kumnyang'anya bold Lakini hamuwezi kuondoa ukweli kwamba bold ni miongoni mwa waandishi wazuri kuwahi kuandika hapa JF.

Unajua wazungu huwa wanaamini kwamba bahati inatokea pindi maandalizi yanapokutana na nafasi yaani "lucky happens when preparation meets opportunity" hivyo bahati tafsiri yake ni maandalizi sahihi yanapokutana na fursa... Sasa bold ili bahati yake ikamilike ni sharti akutane na nafasi sahihi maana kama ni maandalizi anayo ya kutosha sana...!

Bold ana mshumaa ila anauwashia chini ya Meza... Ila siku akijipekecha kimkakati na kuwafikia watu wake wengi anaweza kupunguza ukali wa maisha kwa kalamu yake kama Shigongo vile.

Declaration Mimi ni casual and amateur writer tu ila bold anaqualify kuwa professional and rhetoric writer.

Hivyo, habib B. Anga ni mwandishi mzuri kuliko Mimi humble African.

[emoji176]
Ndio maana nakukubali HKL unaitendea haki kwa kweri
 
Ahahaha! Unajua kinachokufanya unielewe ni sababu ya ushkaji wangu na wewe... Maana vita yako huwa ni Vita yangu pia, nikikukuta unapigana kwenye keyboard mtandaoni huwa najoin kwanza battle then later ndio nauliza sababu ya ugomvi.

Mimi Mam Sabrina tu! [emoji7] [emoji119]
Hapanaa sio hivyo tu huwa una andika yako flan hivi hunifanya nisome tu hata comment zako zinavutia ukiachana na utani na mambo mengine ya vita pia [emoji6]
Nadhani nakukubali sana tu
 
Back
Top Bottom