Humble African vs The bold

Humble African vs The bold

Kuna vitu vingi sana mnaweza kumnyang'anya bold Lakini hamuwezi kuondoa ukweli kwamba bold ni miongoni mwa waandishi wazuri kuwahi kuandika hapa JF.

Unajua wazungu huwa wanaamini kwamba bahati inatokea pindi maandalizi yanapokutana na nafasi yaani "lucky happens when preparation meets opportunity" hivyo bahati tafsiri yake ni maandalizi sahihi yanapokutana na fursa... Sasa bold ili bahati yake ikamilike ni sharti akutane na nafasi sahihi maana kama ni maandalizi anayo ya kutosha sana...!

Bold ana mshumaa ila anauwashia chini ya Meza... Ila siku akijipekecha kimkakati na kuwafikia watu wake wengi anaweza kupunguza ukali wa maisha kwa kalamu yake kama Shigongo vile.

Declaration Mimi ni casual and amateur writer tu ila bold anaqualify kuwa professional and rhetoric writer.

Hivyo, habib B. Anga ni mwandishi mzuri kuliko Mimi humble African.

[emoji176]

Bora umekubali na umekua mkweli, The bold yuko juu zaidi.
 
Unajua Wabongo tuko so selfish kiasi MTU anaweza kumzibia mwenzake hata kama uwepo wa huyu hauathiri wa mwingine, kuna kukatishana tamaa ili ionekane wewe si kitu isipokuwa fulani.

Kitu hiyo siyo sahihi, ukirudi nyuma kwetu hapa utakutana na Joram Kiango, Elvis Musiba (sins uhakika spelling either Msiba), na wengine wengi, kila mmoja alikuwa ana fan base (+soko) lake na walikuwa best sellers.

Hapo hatujaenda kwa kina J. H. Chase, Robert Ludlum, Ian Fleming, Mario Puzo, Sidney Sheldon, et al. Kila mmoja alikuwa/ana kitu chake kinachompa edge kwa hadhira yake.

So, stay put man.
Well said!

Kusema fulani anacopy bila kusema ancopy wapi ni unafki na inaprove vile mtu anaweza kua first class hater for no reason!

By the way, uandishi unahitaji research ambapo research ni lazima ihusishe literature review ili ujue waandishi wengine walisemaje kuhusu topic unayoiandikia!

Watanzania tunapenda mafanikio, ila tunawachukia waliofanikiwa!

Peace be upon you!
 
Well said!

Kusema fulani anacopy bila kusema ancopy wapi ni unafki na inaprove vile mtu anaweza kua first class hater for no reason!

By the way, uandishi unahitaji research ambapo research ni lazima ihusishe literature review ili ujue waandishi wengine walisemaje kuhusu topic unayoiandikia!

Watanzania tunapenda mafanikio, ila tunawachukia waliofanikiwa!

Peace be upon you!
Peace be upon you too.
 
Shoga Humble African ujue ni full package pia,sijui kwa nini wadada wa jf hawamuoni,majibu yake yanaonyesha mtu wa utulivu anajielewa
Unamwita shoga ukimaanisha ni rafikiyo wa kike au unamaanisha anafanywa kinyume na maumbile? Kama unamwita kwa maana ya pili na huna uthibitisho na hilo nakuomba umwombe msamaha na ujiepushe kujichumia dhambi za bure au kujiongeleaha ili tu watu wakuone nawe mjanja.

Unaanzaje kutoa tuhuma za ajabu kwa mtu usiemfahamu, mfano atokee tu mtu from nowhere aanze kukuita lesbian utajisikiaje ndugu.
Acheni tabia za kuzungumzia watu mambo ya ajabu huo ni wivu tu.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Unamwita shoga ukimaanisha ni rafikiyo wa kike au unamaanisha anafanywa kinyume na maumbile? Kama unamwita kwa maana ya pili na huna uthibitisho na hilo nakuomba umwombe msamaha na ujiepushe kujichumia dhambi za bure au kujiongeleaha ili tu watu wakuone nawe mjanja.

Unaanzaje kutoa tuhuma za ajabu kwa mtu usiemfahamu, mfano atokee tu mtu from nowhere aanze kukuita lesbian utajisikiaje ndugu.
Acheni tabia za kuzungumzia watu mambo ya ajabu huo ni wivu tu.
Aiseee hili ni povu langu au? cc imfikie Raynavero Humble African
 
Hilo lako mama unless niwe nilikuelewa vibaya, maana kuna jamaa mwingine pale juu kamwita PUGI sijapenda mtu kupewa tuhuma zisizo na ukweli kisa tu watu wanamkubali
Haya
 
Kuna mtu mmoja anakuelezea tukio kwa style fulani ambayo itakufikirisha na kufanya ubongo wako uchangamke na kufanya kazi sawa sawa katika kuunganisha matukio ya kile anacho kielezea. Huyu ni Mkwe wangu The bold (Habib Anga).

Kuna mtu anakuelezea tukio kubwa na gumu kwa njia rahisi sana ambayo hata kilaza lazima aelewe, huku akiweka vionjo mbali mbali na lugha mchanganyiko inayovutia hadhira. Huyu ni mshkaji au comrade Humble African!

The bold ni mkongwe, na utaona maturity ya kutosha kwenye kazi zake. Humble African ni chipukizi, na utaona styles na vionjo vipya kabisa kwenye kazi zake na unaweza jikuta unasoma article yake moja mara tatu kwa udambwi dambwi unaokuwepo humo ndani!

Badala ya kuangalia who is the best, nashauri tujikite kwenye kusupport kazi zao na kujifunza kutokana na yale wanayoyaandika.

These guys are from different planets, we should stop comparing them. Let's enjoy their great and outstanding articles while we still can!
 
Kwa mwendo huu ngoja nami niwe mwandishi tu
 
Mimi naweza kuwatofautisha hivi..
H.A hua anaandika kile alichosoma na kukielewa.
The bold hua ni anatafsiri kile anachokisoma ndo maana ukigoogle moja ya post zake zimetofautiana kwa lugha tu pia mtunzi wa mahili wa simulizi.

Lakini heshimu sana mtu anayeandika chochote humu ni kazi ngumu ngumu mnoo hata kama anatafsiri sio lele mama.
The bold he is too kindly good and intelligence. HA he's too good
 
Kuna mtu mmoja anakuelezea tukio kwa style fulani ambayo itakufikirisha na kufanya ubongo wako uchangamke na kufanya kazi sawa sawa katika kuunganisha matukio ya kile anacho kielezea. Huyu ni Mkwe wangu The bold (Habib Anga).

Kuna mtu anakuelezea tukio kubwa na gumu kwa njia rahisi sana ambayo hata kilaza lazima aelewe, huku akiweka vionjo mbali mbali na lugha mchanganyiko inayovutia hadhira. Huyu ni mshkaji au comrade Humble African!

The bold ni mkongwe, na utaona maturity ya kutosha kwenye kazi zake. Humble African ni chipukizi, na utaona styles na vionjo vipya kabisa kwenye kazi zake na unaweza jikuta unasoma article yake moja mara tatu kwa udambwi dambwi unaokuwepo humo ndani!

Badala ya kuangalia who is the best, nashauri tujikite kwenye kusupport kazi zao na kujifunza kutokana na yale wanayoyaandika.

These guys are from different planets, we should stop comparing them. Let's enjoy their great and outstanding articles while we still can!
I concur with you broh..
Japo wanasema anacopy but ni ngumu mnoo, the Bold apewe heshima yake as the bold na humble as humble.
 
Kuna mtu mmoja anakuelezea tukio kwa style fulani ambayo itakufikirisha na kufanya ubongo wako uchangamke na kufanya kazi sawa sawa katika kuunganisha matukio ya kile anacho kielezea. Huyu ni Mkwe wangu The bold (Habib Anga).

Kuna mtu anakuelezea tukio kubwa na gumu kwa njia rahisi sana ambayo hata kilaza lazima aelewe, huku akiweka vionjo mbali mbali na lugha mchanganyiko inayovutia hadhira. Huyu ni mshkaji au comrade Humble African!

The bold ni mkongwe, na utaona maturity ya kutosha kwenye kazi zake. Humble African ni chipukizi, na utaona styles na vionjo vipya kabisa kwenye kazi zake na unaweza jikuta unasoma article yake moja mara tatu kwa udambwi dambwi unaokuwepo humo ndani!

Badala ya kuangalia who is the best, nashauri tujikite kwenye kusupport kazi zao na kujifunza kutokana na yale wanayoyaandika.

These guys are from different planets, we should stop comparing them. Let's enjoy their great and outstanding articles while we still can!
Kula like mkuu hata mimi niwewaza kuwasupport instead of comparing them
 
Sijawahi kuona wala kusoma machapisho ya humble afican, hivyo siwezi kuwalinganisha. Ila ya the bold nimesoma na niseme tu ni mwandishi mzuri sana na hachoshi kumsoma. Mwingine ninaemkubali ni Mentor.

Anyway, waandishi huwa wanatofautiana namna ya uwasilishaji kazi zao. Utofauti huo pia hufanya kazi zao zivute hadhira na kuwafanya wawe waandishi bora.
 
Unamwita shoga ukimaanisha ni rafikiyo wa kike au unamaanisha anafanywa kinyume na maumbile? Kama unamwita kwa maana ya pili na huna uthibitisho na hilo nakuomba umwombe msamaha na ujiepushe kujichumia dhambi za bure au kujiongeleaha ili tu watu wakuone nawe mjanja.

Unaanzaje kutoa tuhuma za ajabu kwa mtu usiemfahamu, mfano atokee tu mtu from nowhere aanze kukuita lesbian utajisikiaje ndugu.
Acheni tabia za kuzungumzia watu mambo ya ajabu huo ni wivu tu.
Mkuu umeghafirika, angalia amemquote nani, huyo aliyemquote ndo alimwita shoga akimjulisha umahiri wa jamaa kwenye uandishi.

Hope umeelewa na utamtaka radhi kwa maneno makali uliyoyatumia.

Good day.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Ni kweli ila, copy na wewe kwanza tuone.watu wengine muna wivu wakike!mwenye haki yake mpe acha maneno mengi,ila samahani mkuu.huwezi kuwa mwandishi nzuri bila kukopi ktk maandiko mengine.labda kama unaandika riwaya


Kaka naunga mkono hoja yako. Huwa napenda sana kusoma kuliko kuandika yaani kutoa maoni. Watu wengi hawajajua katika tabia mbaya ni kuoenda mtu fulani kumlinganisha na mtu mwingine. Hii sio tabia nzuri hata kidogo.

Lazima watu wafikie hatua kukubali utofauti wa watu na kukaa kimya. Hatari za kulinganishana hupelekea watu kuletea chuki,uhasama na kudhulumiana kimaandishi na watu wakasifia kitu kiushabiki,hili jambo baya sana.

Kuzidiana kupo na hakukwepeki ila kukingashana ni ujinga uliokomaa.

Chif kama unavyosema na hapa natilia mkazo kielimu au katika masuala ya kielimu kumkosoa mtu ni shughuli pevu yenye kutaka maarifa na umakini wa hali ya juu,ila kimtaa na kwa watu wasio jua kukosoa ni jambo rahisi sana,ila kizaa zaa huja pale ukimtak mtu huyo afanye kama anavyofanya huyo anae mkosoa mwisho mnaweza mkavunjiana heshima.

Cha msingi watu wavumiliana wasome wajifunze kama wameamua kujifunza na kuficha hisia zao hasi kwa mtu fulani,maisha yasonge.
 
Back
Top Bottom