Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Kweli TYK.Haaaaaa, mkuu Mayalla...Tumsifu Yesu Kristi..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli TYK.Haaaaaa, mkuu Mayalla...Tumsifu Yesu Kristi..?
Ni replica.Polepoleeeeeee ni wewe yule wa katiba mpya au ni mtoto wake
Mkuu nimecheka, ingawa sio sana. Ukiwa mwandishi maswala ya kupigwa au kupotea ni jambo la kawaida sana ila inataka moyo kuwa mwandishi.Mkuu kwa ukongwe ulioa nao kwani waandishi wa hapa kwetu mnakwama wap? Yaani maswali ya msingi kama haya hadi wa bbc wawaulizie?
Mkuu bahati mbaya unaweza kumpa mtu like moja tu hapa, naomba ule kumi!Hawa ndio waandishi...na hiki ndio chombo cha habari.
P
usisahu tafsiri ya Mayala ni 'njaa'Hawa ndio waandishi...na hiki ndio chombo cha habari.
P
Lumumba hapatoshi huko kati ya hawa vibopa wawili wa ccm inavyosemekana pole pole ndio mkorofi.Wana ugomvi gan mkuu🤗🤔
Mkuu: hakufa ila alifanyiwa hivi!Huyu ni wa Lumumba tu yule wa katiba mpya alikufa baada ya kuteuliwa kuwa boss wa kijani