dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... read between the line alicho-post Missile of the Nation! Nina uhakika hujamwelewa.Kwa wajinga wenzio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... read between the line alicho-post Missile of the Nation! Nina uhakika hujamwelewa.Kwa wajinga wenzio.
Kwa wajinga wenzio.
"Kusema Polepole katoa shule nzuri sana,narecommend watu kuangalia video yote",kuna utata wa kuelewa???... read between the line alicho-post Missile of the Nation! Nina uhakika hujamwelewa.
Mwanachama wa Sukuma GangAmeongea kama nani?
MtanzaniaAmeongea kama nani?
Mbona wana ubalozi Libya 🇱🇾 na Iraq 🇮🇶Hao wameamua kufunga balozi zao kwa kuhofia ugaidi Kama wa Akina Hamza
... hujamwelewa Mkuu; jamaa kaongea "lugha ya kinyume". Msimamo wake humu uko wazi; hanaga longolongo na makada pumbavu wa kijani.K
"Kusema Polepole katoa shule nzuri sana,narecommend watu kuangalia video yote",kuna utata wa kuelewa???
Angejifunza kutoka kwa Joyce Banda...!!Mama akija kushituka,itakuwa imekula kwake.
Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Physical planning took on a critical role in the USSR during the fulfillment of the First Five-Year Plan, 1928–1932. To achieve “Socialism in One Country,” foodstuffs and technology had to be generated within Soviet borders, an effort that required intelligent utilization of the vast territories, natural resources, and population of the USSR. Soviet Planning Praxis: From Tractors to Territory
Wapi mkakati wa CCM kutoa elimu ya kweli uhandisi, kilimo na Umwagiliaji maji ili tuweze kutumia maziwa makuu ya Victoria, Tanganyika, Nyasa pamoja na maziwa madogo ya Singida, Rukwa na mito ya maji mikubwa kuwezesha ukulima mkubwa na pia viwanda vyetu vyenye wahandisi wa kuweza kutengeneza matrekta, mikokoteni na matoroli na pampu za maji ya kilimo cha umwagiliaji. Wapi elimu ya kweli kwa wahandisi waweze kujenga barabara za zege ya cement na nondo zilizozalishwa nchini badala ya lami ya kuagizwa toka nchi zinazozalisha na kusafisha mafuta.The ambitious timetable set by the state’s economic planners for the Plan did not allow for a period of internal architectural research and development. Pragmatism, forced by the schedule, led the Supreme Soviet of the National Economy (VSNKh) to Detroit architect Albert Kahn, the designer for Henry Ford. In May 1929, the Soviet government signed a contract with Kahn’s firm to design and oversee construction for a single tractor factory in Stalingrad, one that would produce 40,000 tractors annually. Source : Soviet Planning Praxis: From Tractors to Territory
Haya ,nimekuelewa mkuu.... hujamwelewa Mkuu; jamaa kaongea "lugha ya kinyume". Msimamo wake humu uko wazi; hanaga longolongo na makada pumbavu wa kijani.
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Kama Ndezi.Ameongea kama nani?
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Ameongea kama mwanasiasa, wenye akili tumempuuza.Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Mbunge wa viti maalumuAmeongea kama nani?
Mimi sio dhalimu hata nikubali kuongoza Godforsaken land kama Tanzania .Upewe nchi wewe ukaongoze[emoji1787][emoji1787][emoji1787]