Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ameshiba huyo mkuuUnatumia ubongo kuongea au unatumia tumbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshiba huyo mkuuUnatumia ubongo kuongea au unatumia tumbo
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]wakati wa vita baridi. nchi zotw za magharibi ziliisusa tanzania isipokuwa Denmark, waliendelea kuisaidia tz katika sekta mbalimbali hasa elimu na watu wakasoma bure. NI aibu kubwa serikali kupoteza mdau kama Denmark kisha mijitu mifala inakuja na analogy za kimalaya malaya
Wewe ni mganga njaa kama yeye tu.Nimemsikiliza Humphrey Polepole, nimegundua ni kijana makini sana nchi yetu imewahi kumpata,
Ni msomi anayezingatia misingi, sio msomi njaa
Natamani aje kua Kiongozi mkubwa hapa nchini, atasaidia.
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
Huwezi kumwelewa kama akili ya kupambanua mambo unategemea kwa wanaume wenzako.Wewe ni mganga njaa kama yeye tu.
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu
(Kuanzia dakika ya 37:40): Story kuhusu Laurent Kabila kwamba ali-mobilize majeshi kutoka nchi mbalimbali siyo ya kweli. Ukweli ni kwamba (na unaujua vizuri) walioivamia Zaire ni majeshi ya Rwanda, Uganda na Burundi kwa kumtanguliza mbele Laurent Kabila kama kibaraka wao ili kuwahadaa wana Zaire na nchi jirani.
Nchi hizo zilipata support kutoka US, Canada, UK, Israel na Australia.
Sasa umeongea nini hapo mkuu..tofauti ya ulichokisema na alichokisema ni nini
Maana ya Polepole ni kwamba Laurent Kabila aliunda jeshi. Kabila Sr hakuwahi kuunda (mobilize) jeshi ambalo lilipigana kumuondoa Mobutu madarakani. In fact hakuwahi kuwa na jeshi.Sasa umeongea nini hapo mkuu..tofauti ya ulichokisema na alichokisema ni nini
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu