Humphrey Polepole aelezea sababu za Kibeberu ya nchi moja kufunga ubalozi

Humphrey Polepole aelezea sababu za Kibeberu ya nchi moja kufunga ubalozi

Polepole au Bwana Slow slow aache ujinga, enxi za mwenda zake is no more!!
Denmark siyo wajinga kama yeye kibaraka wa CCM na Mwendazake!!!
Denmark ni moja ya nchi muhimu sana katika maendeleo ya Watanzania na ni moja ya nchi za NORDIC Countries. Norway, Denmark na Sweden.

Hizi ni nchi zinazopenda MAENDELEO lakini pia zinapenda kuona HAKI, USAWA DEMOKRASIA NA UHURU ukitamalaki ndani ya nchi zinazonufaika na misaada ya nji hizo. Kwa sasa Tanzania inanuka kwa uonevu,uminyaji wa Demokrasia hasa UONEVU WA VYAMA VYA SIASA. Denmark wanajua kilichompata Tundu Lissu na sasa kinachoendelea kwa Mwenyekiti (T) CHADEMA. Sasa kama hawaridhiki na wanachotendewa wapinzani wana haki ya ku-quit na kustisha uhusiano wa Kibalozi na Tanzania?!!
Mkuu nchi zote zilizoendelea huwa wanachagua kimoja Kwanza ama maendeleo, au haki na hzo democracy, tulikuwa kwenye njia sahihi sa ivi tumehama hatujui tunaenda wapi, matumain nikuwa tutafika ama tumewahi au tumechelewa, anachofanya Hp Ni kutukumbusha tulipokuwa tulipo na tunapoenda...
 
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu


Huu ni unafiki wa kiwango cha lami. Walipofungua ubalozi hawakuwa mabeberu ila walipoamua kuufunga. Jitegemeeni badala ya kulalamikalalamika hovyo kama machizi
 
Huwa sielewi, mmoja anasema anasikitika ubalozi kufungwa na mwingine anasema anayeondoka ni kwa sababu amekosa kufaidi sasa anaondoka. Ni kama mwingine anasema usiende na mwingine bora uende. Wengine ni beberu, wengine ni mdau muhimu wa maendeleo

Habari za bora jua ama mvua!! Katika dunia ya sasa sijui kufungwa kwa ubalozi kuna uzuri wowote!!

Tuna dalili za wazi kabisa za kutotambua hata tunataka au kukataa nini!!
 
Ni maslahi gani ambayo Denmark (walioisaidia Tanzania tangu uhuru) wamebanwa kuyapata hadi waamue kufunga ubalozi? Kwamba nchi nyingine zote ambako hawajafunga balozi zao hawajabaniwa kupata maslahi kama walivyobanwa Tanzania? Huyu jamaa na stori zake za kijinga anakera sana!
Ndio kipenzi cha masalia mataga wa mwendazake
 
Ni kweli namkumbuka nikiwa Chuo polepole alituita mnazi MMOJA pale na haya ndo aliyosema..naamini Ana msimamo Sana huyu jamaa
Polepole ndio amekuwa mkufunzi mashuhuri wa vijana wetu! Astaghfirullah.
 
Ni maslahi gani ambayo Denmark (walioisaidia Tanzania tangu uhuru) wamebanwa kuyapata hadi waamue kufunga ubalozi? Kwamba nchi nyingine zote ambako hawajafunga balozi zao hawajabaniwa kupata maslahi kama walivyobanwa Tanzania? Huyu jamaa na stori zake za kijinga anakera sana!
Polepole ni pyscho case, kichwani amejazwa ujinga
 
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu

Hivi huyu huwa ni Kijana au Mzee??? Au huwa ni mgonjwa? Maana haeleweki
 
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu


Tangu nipoteze imani alipofanya U-turn katika kupigania Katina Mpya inayotokana na maoni ya wananchi kama yalivyokusanywa na Tume ya Warioba na kuwekwa kwenye Rasimu ya Katikba Mpya (2013) sijaweza kuirudisha.
 
Halafu anasema Magufuli na Mama Samia kama vile Samia alikuwa anashirikishwa kwenye maamuzi, kwa Tanzania ukiwa Makamu sio Kaimu wewe ni picha tu
 
Halafu anasema Magufuli na Mama Samia kama vile Samia alikuwa anashirikishwa kwenye maamuzi, kwa Tanzania ukiwa Makamu sio Kaimu wewe ni picha tu
Kwahiyo makamu unamwita picha siyo? Kwanini basi Katiba inamtambua pale Rais anapofariki kama ilivyo tokea nchini kwetu?
Akili zako ni nyingi tatizo zimeondoa maarifa yako
 
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu


Badala ya kuwabembeleza serikali ingewapa Denmark masaa 24 wawe wameshaondoka nchini!! Nina uhakika JPM wasingethubutu kumtishia nyau!!
 
Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.

Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Mbowe ni adui wa taifa maana ugaidi hauchagui nani atakuwapo kwenye tukio
Kuna wana ccm na vyama vingine na wale wasiokua vyama.
 
Huyo ni Mjinga
Denmark hawana business interest kubwa ya kutwa Mabeberu Tanzania
Moja ya mipango yao ilikua ku assist development kwa nchi zilizopata uhuru
Tunaona Danida na mashirika mengine wakisaidia Tanzania hii ni sababu ya policy zao katika dunia

Kibaya ni nini sisi tunachukua misaada yao na kuitumia nje ya bajeti, pia rushwa pia kuwapa watu tender ambao hawajawahi kutoa misaada

Inafikirisha Denmark anakupa mabilioni wewe unachukua unaipa China ijenge Barabara kibaya zaidi inajengwa barabara chini ya kiwango si ni heri izo barabara tungejenga Makampuni yetu ya ndani kuliko kuchukua pesa za west kupeleka east kizembe zembe watu wenye akili finyu kama polepole ni hasara kwa taifa
 
Back
Top Bottom