Humphrey Polepole aelezea sababu za Kibeberu ya nchi moja kufunga ubalozi

Humphrey Polepole aelezea sababu za Kibeberu ya nchi moja kufunga ubalozi

1630238453944.png
🤮 🤮 🤮 🤮 🤮 💥💥💥
 
Polepole siku hizi kawa na kibri Sana Naona madaraka yamemlevya .Kwa mtu msomi kama yeye kuongea ujinga huo ni aibu kwake na kwa Taifa
 
Kwa hii clip huyu jamaa ana nondo aisee polepole akitulia ni mtu makini sana natamani kila mmoja aone hili

Kuanzia leo kwa maslahi mapana ya taifa letu namuheshimu polepole sana....huyu jamaa ni kichwa sana....

 
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu

Huyu jamaa namuheshimu sana
 
Ni kweli namkumbuka nikiwa Chuo polepole alituita mnazi MMOJA pale na haya ndo aliyosema..naamini Ana msimamo Sana huyu jamaa
 
Ni kweli namkumbuka nikiwa Chuo polepole alituita mnazi MMOJA pale na haya ndo aliyosema..naamini Ana msimamo Sana huyu jamaa
 
Kwa hii clip huyu jamaa ana nondo aisee polepole akitulia ni mtu makini sana natamani kila mmoja aone hili

Kuanzia leo kwa maslahi mapana ya taifa letu namuheshimu polepole sana....huyu jamaa ni kichwa sana....


Ungemjuwa wakati hana chama, enzi za katiba ya Warioba, angekuowa kabisa, nilimzimia sana sana, yaani nikisikia sauti ya Pole naacha shughuli zangu namsikiliza, alipotamka rasmi yeye CCM, dah, kwenye ile ya katiba mpya alobakia nnayemwamini ni Warioba tu aisee!
 
Ungemjuwa wakati hana chama, enzi za katiba ya Warioba, angekuowa kabisa, nilimzimia sana sana, yaani nikisikia sauti ya Pole naacha shughuli zangu namsikiliza, alipotamka rasmi yeye CCM, dah, kwenye ile ya katiba mpya alobakia nnayemwamini ni Warioba tu aisee!
Hajawahi kutokuwa na chama, hata wakati wa katiba ya Warioba alikuwa CCM huko huko.
Ana misimamo yake ya kitaifa tu.
 
Pole pole ameelezea jinsi mabeberu wanavyojaribu kutudhoofisha lakini ameweka wazi sababu za nchi moja kufunga ubalozi na kusema ni Mambo ya KIUCHUMI kwani baada ya serikali hiyo kubanwa kupata maslai wameamua kuondoka, msikilize hapa akiongelea uzalendo wa Hali ya juu



ubalozi umeingia vipi hapa! Tanzania sio Congo
 
Huyo Polepole anazidi kuichafua nchi,yeye anaingea hayo kama nani ?mama anacheka na kima hii ipo siku itatuingiza pabaya
 
Kati ya wachina na hao denmark nani hafai.

Mchina kwa nini haitwi beberu wakati mnoko sana nyau
Slow slow anajua wachina wapo
Kwani tumezungumzia wachina au wadernmark nilichozungumzia ni polepole tu
 
Denmark pamoja na nchi za Nordic zimefanya mengi hapa nchini kimaendeleo.

Na hazikuwahi kutawala nchi yoyote kama koloni.

Hivyo kuwaita mabeberu si tu ujinga wa kukosa elimu bali ukosefu wa hekima kiujumla.
Mkuu tangu CCM iache kugroom viongozi kupitia mifumo rasmi na kuiachia facebook na uvccm iwaandalie viongozi matokeo yake ndiyo haya.

Kama kuna nchi Tanzania inapaswa kuzishikiria kidiplomasia kuliko nchi nyingine yoyote ni NORDIC countries ila serikali imeachia wajinga wajinga wachache waendelee kuharibu zaidi ya kujenga.
 
Kwa hii clip huyu jamaa ana nondo aisee polepole akitulia ni mtu makini sana natamani kila mmoja aone hili

Kuanzia leo kwa maslahi mapana ya taifa letu namuheshimu polepole sana....huyu jamaa ni kichwa sana....


Hana maslahi na serikali ya Samia ndio maana anajilipua. Enzi zile ana post kubwa mbona aliikana katiba akadai haina faida ila maji na barabara ndio muhimu??

Trust me leo hii akipewa Uwaziri atakua wa kwanza kuchanjwa na atazunguka nchi nzima akidai alinukuliwa vibaya!!
 
Kwani tumezungumzia wachina au wadernmark nilichozungumzia ni polepole tu
Ndio ujue hana akili kama unavyofikiri.
Yaani ana vitu viwili aidha arudi kwenye uongozi maana kuajiriwa ngumu lazima apate post nzito au biashara.

Sasa amekuwa kama chizi fulani.
 
Mama akija kushituka, itakuwa imekula kwake.

Mama anaaminishwa Mbowe na CHADEMA ndio maaduii wake, kumbe maadui wake wamo humo humo katika chama chake na serikali yake.
Sasa mkuu kosa la hp ninini hapo?
 
Back
Top Bottom