Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Kumbe siku hizi kawa nabii, naona nabii wa CCM.Katibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia...
Hakuna ajuaye muda wa la saa mwana wa Adamu atakaporudi, sasa mbona anapingana na hili.