5+(5+2)+7+7 = 26 ( Utawala wa Magu)
Utawala wa Magufuli ni kama ifuatavyo
Miaka 5 2015 - 2020
Miaka 5 Plus 2 baada ya marekebisho ya katiba awamu za uongozi kuwa 7 years awamu mbili mbili 2020- 2027
Tunaanza awamu ya kwanza ya miaka 7
Anagombea 2027 - 2034
Anagombea tena awamu ya pili ya mwisho kwa ile miaka saba saba
2034 - 2041 - October
Mwaka 2042 inakuwa ni UNYAKUO.... according to kada Polepole.
Ina maana jiwe atatawala hadi 2041 October...then 2042 ni unyakuo..mwisho wa dunia.
Utawala wa Magufuli ni kama ifuatavyo
Miaka 5 2015 - 2020
Miaka 5 Plus 2 baada ya marekebisho ya katiba awamu za uongozi kuwa 7 years awamu mbili mbili 2020- 2027
Tunaanza awamu ya kwanza ya miaka 7
Anagombea 2027 - 2034
Anagombea tena awamu ya pili ya mwisho kwa ile miaka saba saba
2034 - 2041 - October
Mwaka 2042 inakuwa ni UNYAKUO.... according to kada Polepole.
Ina maana jiwe atatawala hadi 2041 October...then 2042 ni unyakuo..mwisho wa dunia.