Humphrey Polepole ahubiri kuwa 2042 ndiyo mwisho wa Dunia na kurudi Yesu mara ya pili

Humphrey Polepole ahubiri kuwa 2042 ndiyo mwisho wa Dunia na kurudi Yesu mara ya pili

5+(5+2)+7+7 = 26 ( Utawala wa Magu)

Utawala wa Magufuli ni kama ifuatavyo
Miaka 5 2015 - 2020
Miaka 5 Plus 2 baada ya marekebisho ya katiba awamu za uongozi kuwa 7 years awamu mbili mbili 2020- 2027

Tunaanza awamu ya kwanza ya miaka 7
Anagombea 2027 - 2034

Anagombea tena awamu ya pili ya mwisho kwa ile miaka saba saba

2034 - 2041 - October

Mwaka 2042 inakuwa ni UNYAKUO.... according to kada Polepole.

Ina maana jiwe atatawala hadi 2041 October...then 2042 ni unyakuo..mwisho wa dunia.
 
Polepole huyu wa ccm .....aaaaaaah very you stolen our votes , and now ur predicting the destiny.
 
Napendekeza kila mtu amsikilize polepole ndipo maoni yatolewe hapa.
 
Dhambi ya wizi wa kura, na laana zinawatafuna hadi akili, sasa wamekua manabii wanahubiri injili
 
1......

Usingalie mambo yapitayo kama mavazi na kadhalika jiulize umeokoka na kuacha dhambi?He Yesu akija leo utaenda mbinguni? Fashion zitapita na tume za uchaguzi zitapita na katiba mpya zitapita jiulize wewe ukimaliza maisha duniani utaenda mbinguni au jehanamu ya milele?
MImi niko upande wa shetani maana mpaka kumchalenji Mungu, shetani na yeye ana nguvu.
 
Dhambi ya wizi wa kura, na laana zinawatafuna hadi akili, sasa wamekua manabii wanahubiri injili
Mungu hadhihakiwi,
Hao Wanaosifiwa Mungu anaweza kuwapenda zaidi na huu mwaka wasiuone mwisho wake.
Muda utasema
 
Kwahiyo ndio anawaambia chadema wasihangaike kutafuta uraisi maana dunia ndio inashia
 
Nimemuangalia, then naona yupo vizuri sana katika kutafakali Biblia, ana macho sana ya rohoni na hekima ya kuupima wakati. Nashukuru, maana crip yake imeniongezea kitu fulani , ambacho kitanivusha kama nikizingatia. Hongera kwake.
 
Kwa hiyo wamelazimisha wakae madarakani kisa mwisho umekaribia?!
 
Polepole unatuletea za KIBWETERE ya mwaka 2000? Biblia inasema Mungu hatoiangamiza Dunia tena sasa wewe huo ufunuo wako umeutoa wapi?
 
Biblia inasema, Yesu aliwaambia watu wa enzi zake kwamba hawataonja mquti kabla yeye hajarudi.

Watu wakasema hakuna haja ya kulima wala kupalilia, kujenga wala kufqnya chochote cha muda mrefu, mwisho wa dunia karibu.

Mpaka leo, zaidi ya miaka 2000 imepita.

Yesu hajarudi.

Bado watu wanaamini atarudi tu?

Kama unafikiri natania, hii hapa mistari ya Biblia.

Mathayo 16:27 BHN

Maana, Mwana wa Mtu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika wake, na hapo ndipo atakapomlipa kila mtu kadiri ya matendo yake.

28

Kweli nawaambieni, wako wengine papa hapa ambao hawatakufa kabla ya kumwona Mwana wa Mtu akija katika ufalme wake.”




WHAT JESUS SAID
“For the Son of Man is going to come in the glory of His Father with His angels, and will then repay every man according to his deeds.

28

Truly I say to you, there are some of those who are standing here who will not taste death until they see the Son of Man coming in His kingdom.“ (Matthew 16: 27, 28)
 
Duh!
5+(5+2)+7+7 = 26 ( Utawala wa Magu)

Utawala wa Magufuli ni kama ifuatavyo
Miaka 5 2015 - 2020
Miaka 5 Plus 2 baada ya marekebisho ya katiba awamu za uongozi kuwa 7 years awamu mbili mbili 2020- 2027

Tunaanza awamu ya kwanza ya miaka 7
Anagombea 2027 - 2034

Anagombea tena awamu ya pili ya mwisho kwa ile miaka saba saba

2034 - 2041 - October

Mwaka 2042 inakuwa ni UNYAKUO.... according to kada Polepole.

Ina maana jiwe atatawala hadi 2041 October...then 2042 ni unyakuo..mwisho wa dunia.
 
Mkuu jiongeze. Haitakusaidia hata nikikwambia
Nikitazama safu ya uongozi wa juu wa serikali yetu umesheheni wana ccm wengi waislam kuliko wakristo. Sasa nojiongeze vipi?
 
Back
Top Bottom