Msimamoo
Senior Member
- Nov 30, 2016
- 125
- 205
Mkuu mbona umechafukwa sana...Wooooooo.
Inabidi hata hii elimu ya kuletewa tuachane nayo sisi waafrika. Kwani kabla wazungu hawajaja, si tulikuwa tunaishi vizuri tu.
Hivi huduma za kisasa za afya, waafrika tuliletewa, ama tulijiundia?.
Huwa nawashangaa waafrika wenye mtindio wa ubongo kuponda dini huku karibu kila tunachofanya leo duniani (Cha kisasa) tumeletewa na wazungu. Mfano, dini, elimu, afya, huduma za usafiri, mikao ya ngono n.k.
Mie napita boss