Humphrey Polepole ahubiri kuwa 2042 ndiyo mwisho wa Dunia na kurudi Yesu mara ya pili

Humphrey Polepole ahubiri kuwa 2042 ndiyo mwisho wa Dunia na kurudi Yesu mara ya pili

Wooooooo.


Inabidi hata hii elimu ya kuletewa tuachane nayo sisi waafrika. Kwani kabla wazungu hawajaja, si tulikuwa tunaishi vizuri tu.

Hivi huduma za kisasa za afya, waafrika tuliletewa, ama tulijiundia?.

Huwa nawashangaa waafrika wenye mtindio wa ubongo kuponda dini huku karibu kila tunachofanya leo duniani (Cha kisasa) tumeletewa na wazungu. Mfano, dini, elimu, afya, huduma za usafiri, mikao ya ngono n.k.
Mkuu mbona umechafukwa sana...
Mie napita boss
 
Fanyia mzaha mambo ya siasa nakushauri. Ila usilogwe kufanya mzaha katika mambo ya imani katika Mungu mmoja muumba mbingu na nchi na vitu vyite vilivyomo katika jina ka Yesu.
Nani anayefanya mzaha bwashee?
 
Kama wanajua mwisho wa Dunia ni hiyo 2035 - 2040, sasa hiyo kampeni ya kubadirisha katiba ya Nchi na kumwongezea bwana yule miaka mi10 zaidi inatoka wapi??

Au wanataka aje atawale na Messiah

Hatudanganyiki
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia.

Lakini katika kipindi cha miaka 7 (2035-2042) kutakua na dhiki kuu duniani ambapo nzige wenye vichwa vya simba na mikia ya nge watawatesa waliobaki duniani. Ndicho kipindi ambacho Mpinga Kristo atajiinua na chapa yake ya 666 na kuiteka dunia.

Mathayo 25:11-13 Baadaye wale wasichana wengine wakaja ...

www.bible.com › BHN
Lakini yeye akawajibu, 'Nawaambieni kweli, siwajui nyinyi.'” Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.
 
Chadema na Lisu tubuni na kuokoka 2042 mnyakuliwe mwende mbinguni mna dhambi nyingi sana wana CCM wengi wetu tumejiandaa kwa unyakuo

Lisu na Chadema Yesu akirudi mtaenda mbinguni au Jehanamu?
 
Chadema wengi hawajamkubali Yesu kama Bwana na mwokozi wa maisha yao na kuokoka ikifika 2042 au kabla wataendaJehanamu waokoke haraka sasa hivi wakati wa wokovu ni sasa hujui kesho Corona Chadema mnayokiri kuwa ipo yaweza ondoka na mwanachadema ikaondoka naye kabla 2042 kwenda naye Jehanamu na direct flight ya shetani non stop okokeni leo acheni ubishi
 
Wasisi wa ccm na waislamu wamo pia na wote ndiyo waliounda mfumo huo. Sasa iweje waanze kuuchukia mfumo ambao wameshiriki kuunda?
Chama kishatekwa na mfumo, shituka mkuu
 
Lisu huko ubelgiji kuna makanisa ya walokole wahi kuokoka hadi leo ubelgiji corona wanaumwa zaidi ya watu laki saba wamekufa zaidi ya elfu 20 hujui zamu yako okokeni haraka na familia yako mumpokee Yesu Kama Bwana na mwokozi wa maisha yenu mwende mbinguni
 
Haaaaahaaaaahaa imenibidi nicheke kwanza title ya thread kabla sijasoma aisee,kuna viumbe wanajua kutuvunja mbavu wadau ile mbaya,kutoka kua kada mbaka mc na dj wa kampeni Leo tena ni nabii?
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] upumbavu mtupu
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia.

Lakini katika kipindi cha miaka 7 (2035-2042) kutakua na dhiki kuu duniani ambapo nzige wenye vichwa vya simba na mikia ya nge watawatesa waliobaki duniani. Ndicho kipindi ambacho Mpinga Kristo atajiinua na chapa yake ya 666 na kuiteka dunia.

Alipoulizwa mbona Yesu mwenyewe alisema hakuna ajuaye siku wala saa isipokua Mungu mwenyewe (Marko 13:32) amesema ninkweli siku na saa havijulikani lakini majira na mwaka wa Yesu kurudi vinajulikana.

View attachment 1693263

Nini maoni yako
Kibwetere
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] upumbavu mtupu
Tubu na kuiamini injili na kuokoka wewe na vyama vyote mnatakiwa kutubu na kuiamini injili na kuacha dhambi na kuokoka
 
Katibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia.

Lakini katika kipindi cha miaka 7 (2035-2042) kutakua na dhiki kuu duniani ambapo nzige wenye vichwa vya simba na mikia ya nge watawatesa waliobaki duniani. Ndicho kipindi ambacho Mpinga Kristo atajiinua na chapa yake ya 666 na kuiteka dunia.

Alipoulizwa mbona Yesu mwenyewe alisema hakuna ajuaye siku wala saa isipokua Mungu mwenyewe (Marko 13:32) amesema ninkweli siku na saa havijulikani lakini majira na mwaka wa Yesu kurudi vinajulikana.

View attachment 1693263

Nini maoni yako?
Kuna Jamaa mmjoa alikuwa anasema "hivi polepole hanaga mashati mengine?"
Mimi nikamuambia anayo ila kayatunza.
 
1......
Kuna Jamaa mmjoa alikuwa anasema "hivi polepole hanaga mashati mengine?"
Mimi nikamuambia anayo ila kayatunza.
Usingalie mambo yapitayo kama mavazi na kadhalika jiulize umeokoka na kuacha dhambi?He Yesu akija leo utaenda mbinguni? Fashion zitapita na tume za uchaguzi zitapita na katiba mpya zitapita jiulize wewe ukimaliza maisha duniani utaenda mbinguni au jehanamu ya milele?
 
Back
Top Bottom