Mkuu mbona umechafukwa sana...Wooooooo.
Inabidi hata hii elimu ya kuletewa tuachane nayo sisi waafrika. Kwani kabla wazungu hawajaja, si tulikuwa tunaishi vizuri tu.
Hivi huduma za kisasa za afya, waafrika tuliletewa, ama tulijiundia?.
Huwa nawashangaa waafrika wenye mtindio wa ubongo kuponda dini huku karibu kila tunachofanya leo duniani (Cha kisasa) tumeletewa na wazungu. Mfano, dini, elimu, afya, huduma za usafiri, mikao ya ngono n.k.
Nani anayefanya mzaha bwashee?Fanyia mzaha mambo ya siasa nakushauri. Ila usilogwe kufanya mzaha katika mambo ya imani katika Mungu mmoja muumba mbingu na nchi na vitu vyite vilivyomo katika jina ka Yesu.
Elimu ni maarfa. Kutumia maarifa ya mtu mwingine si vibaya, ila kutumia fikra za mtu mwingine ni hatari.Na elimu uliyonayo uachane nayo maana ni ya kuja
Tofautisha elimu na imaniNa elimu uliyonayo uachane nayo maana ni ya kuja
Kama niniNa wewe uamini unachoamini, ila usiponde wanachoamini wengine, wakati kile unachokiamini na wanachoamini wengine, vyote ni Mambo ya wazungu.
Unajua mwenyeweKama nini
Nachojua biblia ni maneno matupuUnajua mwenyewe
Katibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia.
Lakini katika kipindi cha miaka 7 (2035-2042) kutakua na dhiki kuu duniani ambapo nzige wenye vichwa vya simba na mikia ya nge watawatesa waliobaki duniani. Ndicho kipindi ambacho Mpinga Kristo atajiinua na chapa yake ya 666 na kuiteka dunia.
Chama kishatekwa na mfumo, shituka mkuuWasisi wa ccm na waislamu wamo pia na wote ndiyo waliounda mfumo huo. Sasa iweje waanze kuuchukia mfumo ambao wameshiriki kuunda?
KibwetereKatibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia.
Lakini katika kipindi cha miaka 7 (2035-2042) kutakua na dhiki kuu duniani ambapo nzige wenye vichwa vya simba na mikia ya nge watawatesa waliobaki duniani. Ndicho kipindi ambacho Mpinga Kristo atajiinua na chapa yake ya 666 na kuiteka dunia.
Alipoulizwa mbona Yesu mwenyewe alisema hakuna ajuaye siku wala saa isipokua Mungu mwenyewe (Marko 13:32) amesema ninkweli siku na saa havijulikani lakini majira na mwaka wa Yesu kurudi vinajulikana.
View attachment 1693263
Nini maoni yako
Tubu na kuiamini injili na kuokoka wewe na vyama vyote mnatakiwa kutubu na kuiamini injili na kuacha dhambi na kuokoka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] upumbavu mtupu
Kuna Jamaa mmjoa alikuwa anasema "hivi polepole hanaga mashati mengine?"Katibu Mwenezi wa CCM, Hamfrey Polepole amesema mwisho wa dunia ni mwaka 2042. Akizungumza katika kipindi cha Sunday Worship cha WasafiTV amesema Yesu atarudi mwaka 2035 kulichukua kanisa (wateule wake) na kukaa nao mawinguni kwa miaka 7 hadi mwaka 2042 atakaposhuka kuihukumu dunia.
Lakini katika kipindi cha miaka 7 (2035-2042) kutakua na dhiki kuu duniani ambapo nzige wenye vichwa vya simba na mikia ya nge watawatesa waliobaki duniani. Ndicho kipindi ambacho Mpinga Kristo atajiinua na chapa yake ya 666 na kuiteka dunia.
Alipoulizwa mbona Yesu mwenyewe alisema hakuna ajuaye siku wala saa isipokua Mungu mwenyewe (Marko 13:32) amesema ninkweli siku na saa havijulikani lakini majira na mwaka wa Yesu kurudi vinajulikana.
View attachment 1693263
Nini maoni yako?
Usingalie mambo yapitayo kama mavazi na kadhalika jiulize umeokoka na kuacha dhambi?He Yesu akija leo utaenda mbinguni? Fashion zitapita na tume za uchaguzi zitapita na katiba mpya zitapita jiulize wewe ukimaliza maisha duniani utaenda mbinguni au jehanamu ya milele?Kuna Jamaa mmjoa alikuwa anasema "hivi polepole hanaga mashati mengine?"
Mimi nikamuambia anayo ila kayatunza.
Acha ujinga Jaribu kukua hata kidogo BasiTubu na kuiamini injili na kuokoka wewe na vyama vyote mnatakiwa kutubu na kuiamini injili na kuacha dhambi na kuokoka