msovero JF-Expert Member Joined Jun 30, 2019 Posts 863 Reaction score 1,534 Aug 24, 2021 #1 Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa. Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani? Au ni msongo wa mawazo 'depression'? Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa. Your browser is not able to display this video. Your browser is not able to display this video.
Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa. Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani? Au ni msongo wa mawazo 'depression'? Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa. Your browser is not able to display this video. Your browser is not able to display this video.
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 29,909 Reaction score 32,414 Aug 24, 2021 #2 Ni depression na maumivu ya moyo Anafanya hivyo ili watu wamuone yupo okey
Adrian Stepp JF-Expert Member Joined Jul 1, 2011 Posts 2,764 Reaction score 2,591 Aug 24, 2021 #3 😅😅😅😅
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 53,868 Reaction score 121,001 Aug 24, 2021 #4 Mkiendelea kumuandama atajipiga kamba
msovero JF-Expert Member Joined Jun 30, 2019 Posts 863 Reaction score 1,534 Aug 24, 2021 Thread starter #5 Inside10 said: Ni depression.. na maumivu ya moyo Anafanya hivyo ili watu wamuone yupo okey Click to expand... Kama ni depression watu wake wa karibu wamuwahi mapema kabla hali yake haijawa mbaya zaidi
Inside10 said: Ni depression.. na maumivu ya moyo Anafanya hivyo ili watu wamuone yupo okey Click to expand... Kama ni depression watu wake wa karibu wamuwahi mapema kabla hali yake haijawa mbaya zaidi
Subira the princess JF-Expert Member Joined Mar 3, 2018 Posts 3,474 Reaction score 3,744 Aug 24, 2021 #6 Hayo ni malipo ya unafiki wake
Naipendatz JF-Expert Member Joined Jul 27, 2011 Posts 5,096 Reaction score 8,234 Aug 24, 2021 #7 Hakutegemea mwendazake angeenda zake, waliahidiwa vingi sana na mwendazake hawa
R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Aug 24, 2021 #8 Mama Kuku kafa vifaranga wanatawanyika
Omusolopogasi JF-Expert Member Joined Aug 31, 2017 Posts 7,101 Reaction score 18,051 Aug 24, 2021 #9 Itakuwa laana ya kuchumia tumbo na kusahau masilahi ya Watanzania aliyojifanya kusimamia hapo mwanzo.
Itakuwa laana ya kuchumia tumbo na kusahau masilahi ya Watanzania aliyojifanya kusimamia hapo mwanzo.
KingCobra95 JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 3,249 Reaction score 5,863 Aug 24, 2021 #11 Mbona namuona yupo sawa,,angekaa kimya mngesema MaTaga wanakomeshwa,,akiongea na kutupia ma-video mnasema ana depression 🤣🤣🤣..sasa afanyaje?
Mbona namuona yupo sawa,,angekaa kimya mngesema MaTaga wanakomeshwa,,akiongea na kutupia ma-video mnasema ana depression 🤣🤣🤣..sasa afanyaje?
James Martin JF-Expert Member Joined Apr 2, 2016 Posts 1,206 Reaction score 1,509 Aug 24, 2021 #12 Mleta mada hebu acha kutupotezea muda wetu. Sasa hapo cha ajabu ni nini? Tunaishi kwenye zama za mitandao na watu kutuma video zao, hasa vijana ni kitu cha kawaida. Polepole bado ni kijana sana mwache afurahie maisha yake.
Mleta mada hebu acha kutupotezea muda wetu. Sasa hapo cha ajabu ni nini? Tunaishi kwenye zama za mitandao na watu kutuma video zao, hasa vijana ni kitu cha kawaida. Polepole bado ni kijana sana mwache afurahie maisha yake.
S St Lunatics JF-Expert Member Joined Aug 29, 2015 Posts 6,644 Reaction score 11,174 Aug 24, 2021 #13 Kichaaa kinamjia polepole Humphrey Polepole [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kichaaa kinamjia polepole Humphrey Polepole [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
mama D JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 19,981 Reaction score 35,581 Aug 24, 2021 #14 Hajaanza leo, muone hapa 2yrs ago Ni furaha yake tuu
N ngebe JF-Expert Member Joined Jun 8, 2020 Posts 1,789 Reaction score 5,117 Aug 24, 2021 #15 Siku hizi ni kama kamechanganyikiwa
TUJITEGEMEE JF-Expert Member Joined Nov 6, 2010 Posts 25,225 Reaction score 25,488 Aug 24, 2021 #16 Ha ha haaa! Anaupiga mwingi. Safi sana.
Kasomi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 11,030 Reaction score 20,391 Aug 24, 2021 #17 Kwa kweli ndo maana watu husema Akili yangu haipo sawa. Yaani mimi namuona @HPolepole yupo sawa kabisa.
Kwa kweli ndo maana watu husema Akili yangu haipo sawa. Yaani mimi namuona @HPolepole yupo sawa kabisa.
Ettore Bugatti JF-Expert Member Joined Aug 28, 2017 Posts 4,123 Reaction score 8,242 Aug 24, 2021 #18 msovero said: Kama ni depression watu wake wa karibu wamuwahi mapema kabla hali yake haijawa mbaya zaidi Click to expand... Hana umuhimu kwa Taifa huyo kinyago wa mwendazake. Kwanza unaijua viieeitee wewe!,? Bullshit!
msovero said: Kama ni depression watu wake wa karibu wamuwahi mapema kabla hali yake haijawa mbaya zaidi Click to expand... Hana umuhimu kwa Taifa huyo kinyago wa mwendazake. Kwanza unaijua viieeitee wewe!,? Bullshit!
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 25,190 Reaction score 27,434 Aug 24, 2021 #19 Kwa sasa kajikita zaidi kwenye biblia Sent using Jamii Forums mobile app
JABALI LA KARNE JF-Expert Member Joined Apr 19, 2021 Posts 3,093 Reaction score 5,850 Aug 24, 2021 #20 Huwa anapenda kucheza cheza ajirikodi.