Humphrey Polepole amepatwa na nini?

Humphrey Polepole amepatwa na nini?

Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.

Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?

Au ni msongo wa mawazo 'depression'?

Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.

Kihoro cha kutolewa kwenye vietel kabla ya kupiga ,alikuwa hajajipanga sasa ana njaa kali anajifanya mzalendo 🤣🤣🤣🤣
 
Ni depression na maumivu ya moyo

Anafanya hivyo ili watu wamuone yupo okey
Kweli. Inatumiw sana na watu wenye msongo wa mawazo kuaminisha watu kuwa mambo yapo sawa. Tundu Lissu na Lema pia wanaitumia sana mbinu hii.
 
Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.

Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?

Au ni msongo wa mawazo 'depression'?

Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.

Kunyang'anywa li V EIGHTY siyo mchezo.

Usipochanganyikiwa utakuwa ni ngangali.
 
Nilimshangaa akidemka kupita kwa bajeti, sijui alifikiri nini, kwa bajeti inaweza kwama au!
 
Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.

Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?

Au ni msongo wa mawazo 'depression'?

Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.

Amepoteza dira baada ya ndoto zake kutokomea asaidiwe asijekuwa mwehu!
 
Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.

Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?

Au ni msongo wa mawazo 'depression'?

Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.


He is selfish, stupid and useless for the public interest!
 
Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.

Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?

Au ni msongo wa mawazo 'depression'?

Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.

Kwani yeye ni nani? Hata akifa sawa tu.
 
Back
Top Bottom