Humphrey Polepole amepatwa na nini?

Humphrey Polepole amepatwa na nini?

Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.

Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?

Au ni msongo wa mawazo 'depression'?

Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.

Kama alivyo Bashiru basi na Polepole hawana tofauti.
 
Kwa kweli ndo maana watu husema Akili yangu haipo sawa.
Yaani mimi namuona @HPolepole yupo sawa kabisa.
Polepole hiyo kawaida yake mbona kuna clip nyingi tu za miaka ya nyuma tangu enzi za JPM akicheza mziki , ni mtu anaye penda kucheza wala msimuanzishie mjadala kwa hili, anamadhaifu yake lakini kwa hili nitakuwa mkweli.
 
Hivi hamjioni kuwa nyie ndio mna stress wenzenu wameshakula mema ya nchi na bado wanaendelea ila nyie ndio kwanza mnapiga kelele za tozo na kodi, mtu analalamika kukatwa buku kwa mwezi hadi anafikiria kutumia umeme wa solar ili kukimbia gharama za elf 12 kwa mwaka halafu et mtu huyo anamuona Polepole ana stress hayupo sawa ila yeye ndio yupo.
 
maruweruwe - bd haamin kama babake kaondoka as simple as that..
 
tatizo mlitaka aunge mkono kile ambacho nyny mnataka,yeye kaamua kutokuwa mnafiki kwa kupinga chanjo ya korona ,kaamua kuwa mwanaume straight,Sasa mnatakaje!!??
 
Fadhaa ya kukosa ukubwa aliouonja wakati wa Magufuli, cha muhimu ndugu zake wamtafutie tiba ya msongo wa mawazo mapema
 
Zama hizi tukisoma mada JF, inabidi kwanza tujue kama mleta mada na wachangiaji wake ni wapiga debe wa pande zipi kati ya "legasi" na "kazi inayoendelea" au "bavicha". Ukijidai kuwa "strictly objective", kamwe hutaeleweka wala hutaelewa kama unajua. Ni kama vile nchi iliamua kutupilia mbali elimu (knowledge), ukweli na uadilifu (integrity).

Unatoa wazo kupinga chanjo ya uviko 19, unakuta unaungwa mkono na watu wa "legasi" wakiwemo mashabiki wa askofu Rashidi na Polepole. Halafu unapingwa vikali sana na ushirika wa "kazi inayoendelea" na "bavicha". Kinyume chake hivyo hivyo; pande zinabadilishana.

Unakosoa Mbowe kushitakiwa kwa ugaidi, unaungwa mkono na "bavicha" na kupingwa vikali sana na muungano wa "legasi" na "kazi inayoendelea".

Unalalamikia tozo, unashangaa kuona "bavicha" na "legasi" wanaunda collabo kukuunga mkono!; huku "kazi inayoendelea" wanakutoa maana.

NI KIZUNGUZUNGU TU 🤔😵. Acha Polepole ademke kivyake.
 
Hana depression uyo mwamba kwa kumuangalia tu unamuona anaumwa ugonjwa unaitwa (Boanthropy) ukipata huu ugonjwa unakua unaamini wewe ni ng'ombe ndio maana ndugu yetu mwenezi mstaafu amekua na pigo za king'ombe recently nashauri ndugu au watu wake wakaribu wawahi vituo vya tiba za mifugo wapitiwe chanjo kabla hajawaambukiza pia apelekwe SUA kwa matibabu zaidi
 
Hivi huwa ni Kijana au Mzee yule maana amepauka kila siku
 
Yupo sawa kabisa. Ila jamaa kaumia sana mwendazake kuondoka. Hivi Bashiru yupo wapi ?
 
Tangu atolewe kwenye Ukatibu wa Itikadi na Uenezi akili yake haijatulia kabisa.

Ni kama anafanya vitu kwa kulazimisha ili kuupa furaha moyo wake. Je, anaweza kuwa amepatwa na tatizo gani?

Au ni msongo wa mawazo 'depression'?

Wataalam wa saikolojia na magonjwa ya akili tupeni somo hapa.

Anapuuzia sana kumeza ARV zake
 
Back
Top Bottom