Humphrey Polepole amepatwa na nini?

Kihoro cha kutolewa kwenye vietel kabla ya kupiga ,alikuwa hajajipanga sasa ana njaa kali anajifanya mzalendo 🤣🤣🤣🤣
 
Ni depression na maumivu ya moyo

Anafanya hivyo ili watu wamuone yupo okey
Kweli. Inatumiw sana na watu wenye msongo wa mawazo kuaminisha watu kuwa mambo yapo sawa. Tundu Lissu na Lema pia wanaitumia sana mbinu hii.
 
Kunyang'anywa li V EIGHTY siyo mchezo.

Usipochanganyikiwa utakuwa ni ngangali.
 
Nilimshangaa akidemka kupita kwa bajeti, sijui alifikiri nini, kwa bajeti inaweza kwama au!
 
Amepoteza dira baada ya ndoto zake kutokomea asaidiwe asijekuwa mwehu!
 

He is selfish, stupid and useless for the public interest!
 
Kwani yeye ni nani? Hata akifa sawa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…