Humphrey Polepole anafanya kazi ya Ubalozi hasa! Anatafuta fursa kwa nchi. Kwa hili, nampongeza

Humphrey Polepole anafanya kazi ya Ubalozi hasa! Anatafuta fursa kwa nchi. Kwa hili, nampongeza

Diplomasia ya uchumi anaimudu na hii si mara ya kwanza. Kiwanda cha biological pesticide hicho hapo kinakuja Kibaha.
Msikilize hapa kwenye video clip hii
Mods nirekebishie ili isomeke "hili"
 
Diplomasia ya uchumi anaimudu na hii si mara ya kwanza. Kiwanda cha biological pesticide hicho hapo kinakuja Kibaha.
Msikilize hapa kwenye video clip hii
Yule ni kilaza hasokua na lolote, mnaangaishwa tu na uchawa na kujipendekeza na kumpa misifa wkt hana uwezo.

Polepole hana cha kukupa kwa kumpa sifa hasizo stahili labda atakupa kazi ya kumsafishishia mabanda yake ya kuku au kazi ya kumuoshea yule mbwa wake.
..overrr
 
Kwabupande wa akili, pole² anaakili sana, sema siasa za mwenda zake zilimfanya afanye vituko. Nami namkubali sana
 
Yule ni kilaza hasokua na lolote, mnaangaishwa tu na uchawa na kujipendekeza na kumpa misifa wkt hana uwezo.

Polepole hana cha kukupa kwa kumpa sifa hasizo stahili labda atakupa kazi ya kumsafishishia mabanda yake ya kuku au kazi ya kumuoshea yule mbwa wake.
..overrr
Umeshapanic 😂😂😂
 
Yule ni kilaza hasokua na lolote, mnaangaishwa tu na uchawa na kujipendekeza na kumpa misifa wkt hana uwezo.

Polepole hana cha kukupa kwa kumpa sifa hasizo stahili labda atakupa kazi ya kumsafishishia mabanda yake ya kuku au kazi ya kumuoshea yule mbwa wake.
..overrr
Matusi ya nini sasa kijana. kama huna jibu ruka post na soma zingine. Matusi ya nini? Amefanya kazi nzuri kutafuta mwekezaji, hilo lina uchawa? Unanifahamu lakini mimi mrengo wangu ni upi? narudia matusi ya nini?

Nitakuwa na mama yako, mama yako narudia tunaosha mabanda na kuosha mbwa! Baba yako will join us later! tukiwa tunaosha mabanda
 
Diplomasia ya uchumi anaimudu na hii si mara ya kwanza. Kiwanda cha biological pesticide hicho hapo kinakuja Kibaha.
Msikilize hapa kwenye video clip hii
Swadakta!
 
Matusi ya nini sasa kijana. kama huna jibu ruka post na soma zingine. Matusi ya nini? Amefanya kazi nzuri kutafuta mwekezaji, hilo lina uchawa? Unanifahamu lakini mimi mrengo wangu ni upi? narudia matusi ya nini?

Nitakuwa na mama yako, mama yako narudia tunaosha mabanda na kuosha mbwa! Baba yako will join us later! tukiwa tunaosha mabanda
Msamehe bure, umefika mbali sana mkuu, Retired! usinyoshe kosa kwa kufanya lile lile kosa alotenda mkosaji!
 
Tunahitaji dawa ya kuuwa wadudu jamii ya chawa, wamekuwa wengi sana
 
Yule ni kilaza hasokua na lolote, mnaangaishwa tu na uchawa na kujipendekeza na kumpa misifa wkt hana uwezo.

Polepole hana cha kukupa kwa kumpa sifa hasizo stahili labda atakupa kazi ya kumsafishishia mabanda yake ya kuku au kazi ya kumuoshea yule mbwa wake.
..overrr
wivu umekuzidi mkuu..angalia namna ya kujicontrol
 
Matusi ya nini sasa kijana. kama huna jibu ruka post na soma zingine. Matusi ya nini? Amefanya kazi nzuri kutafuta mwekezaji, hilo lina uchawa? Unanifahamu lakini mimi mrengo wangu ni upi? narudia matusi ya nini?

Nitakuwa na mama yako, mama yako narudia tunaosha mabanda na kuosha mbwa! Baba yako will join us later! tukiwa tunaosha mabanda
haahaahaaa you made my day
 
Msamehe bure, umefika mbali sana mkuu, Retired! usinyoshe kosa kwa kufanya lile lile kosa alotenda mkosaji!
Kijana ameniudhi sana. Amenitukana bure kabisa badsl ya kujibu hoja. ngoja nimpe kidonge kesho atakuwa na adabu. Mimi si muumini wa CCM na akina Poleole (polepole et al), totally oposed to ccm and its chawa . Ila kwa hili amelifanya na ni zuri! Why did he attack me? Ametumia ad hominem argument and he is to be confronted in the same way!
 
Diplomasia ya uchumi anaimudu na hii si mara ya kwanza. Kiwanda cha biological pesticide hicho hapo kinakuja Kibaha.
Msikilize hapa kwenye video clip hii
Toka siku ya kwanza nilipoanza kumsikia huyu Mtu huwa sichoki kumsikiliza na ninamkubali sana utendaji wake.
 
Yule ni kilaza hasokua na lolote, mnaangaishwa tu na uchawa na kujipendekeza na kumpa misifa wkt hana uwezo.

Polepole hana cha kukupa kwa kumpa sifa hasizo stahili labda atakupa kazi ya kumsafishishia mabanda yake ya kuku au kazi ya kumuoshea yule mbwa wake.
..overrr
Ww unaonyesha ndo kilaza sio kwa povu hilo
 
Yule ni kilaza hasokua na lolote, mnaangaishwa tu na uchawa na kujipendekeza na kumpa misifa wkt hana uwezo.

Polepole hana cha kukupa kwa kumpa sifa hasizo stahili labda atakupa kazi ya kumsafishishia mabanda yake ya kuku au kazi ya kumuoshea yule mbwa wake.
..overrr

Kama hufuatiliii kazi ya pole pole aliyofabya kaa kimya mzee.Jamaa anajitahidi
 
Back
Top Bottom