Humphrey Polepole anafanya kazi ya Ubalozi hasa! Anatafuta fursa kwa nchi. Kwa hili, nampongeza

Humphrey Polepole anafanya kazi ya Ubalozi hasa! Anatafuta fursa kwa nchi. Kwa hili, nampongeza

Kina samia walitaka wampoteze polepole kwa chuki binafsi
Tueleweshe vizuri ndugu:
1. Wampoteze Kivipi?
2. Kwa sababu gani?
2. Ili iweje?
3. Kwa faida gani?
4. Aliyemteua nani?
5. Anawajibika kwa nani?
6. Anamwakilisha?
7. Kampangia Kituo cha kazi nani?
 
Matusi ya nini sasa kijana. kama huna jibu ruka post na soma zingine. Matusi ya nini? Amefanya kazi nzuri kutafuta mwekezaji, hilo lina uchawa? Unanifahamu lakini mimi mrengo wangu ni upi? narudia matusi ya nini?

Nitakuwa na mama yako, mama yako narudia tunaosha mabanda na kuosha mbwa! Baba yako will join us later! tukiwa tunaosha mabanda
Case closed[emoji357]![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom