Elections 2015 Humphrey Polepole: CCM ilifanya maamuzi ya kiume, Majizi na hasa kubwa lao yakakatwa...

Elections 2015 Humphrey Polepole: CCM ilifanya maamuzi ya kiume, Majizi na hasa kubwa lao yakakatwa...

Kwa mjibu wa viongozi na wafuasi wa cdm ,kama lowasa angekuwa fisadi basi angekuwa kashafungwa.na wanakwenda mbali zaidi na kusema aliye na ushaidi kuwa lowasa ni fisadi auweke hadharani au aende mahakamani.kwa sababu hizo,hata chenge,mhongo,ngereja,tibaijuka,rostam,karamagi n.k sio mafisadi pia,kwa sababu nao hawajashitakiwa mpaka sasa.Hivyo ccm hakuna fisadi hata mmoja.

Ina maana miaka yote chadomo walikuwa wanatudanganya?
 
Mkuu naweza kusema kwa uhakika hoja yako hii haitoki kwenye ufahamu wako. Pole sana na Polepole wako
 
Polepole ulipokuwa unaelezea change na transformation nilihofu kama umewahi hata kusoma chemistry
kidato cha kwanza.

Nimekuja kugundua, unahitaji kukua zaidi kimidahalo.
 
Khaa!! Kikatio changu kitamfuata fis adi popote alipo
 
Yule mwenyekiti wao alisema hawakutaka kumchagua mtu ambaye watakuwa na kazi ya ziada kumtetea na kujitetea wao. Sasa hawa jamaa wengine wakachukua yale yaliyoitwa mafisadi na sasa wamebaki na kazi ya kuwatetea kuwa wale sio mafisadi ila ni mfumo ! Kibao kimegeuka siku hizi siwasikii kabisa wakikemea ufisadi sijui yule jamaa kawakataza ! Kweli pesa sabuni ya roho !!
 
Lowassa.jpg
 
Polepole kama mtu ni mwizi mpeleke mahakamani. Kikwete aliwahi kusema lowasa ni msafi na kilichomkuta ni ajali ya kisiasa tu. Kwa nini ahamie chadema ndio useme ni mwizi. Alivyokuwa ccm hakuwa mwizi. Je mwizi analipwa mshahara, mlinzi gari. Unatabkutuaminisha wewe ni kichaa maana unayokomalia ni kichaa tu anaweza kufanya hivyo
 
Kwamba UKAWA inasimamia misingi? Misingi ipi wakati mtu katoka alikotoka akapewa ugombea bila kupingwa, hiyo ndiyo misingi inayosimamiwa na UKAWA? Kama UKAWA imeshindwa kusimamia msingi wa demokrasia ndani ya vyama na ndani ya UKAWA, sioni misingi yoyote hapa.

Kwamba alipokuwa CCM alikuwa ananunua watu, kuna uthibitisho gani kwamba alipoenda CHADEMA hakununua watu na kupitishwa kugombea bila kupingwa?
 
Kabla sijamfajamu vizuri Polepole nilifikiri mtu makini sana kumbe ni mtu hopeless kabisa ni mtu anayesahau jana, siku zote nitamkumbusha mtu mmoja aliyekuwa anamtukana aliyekuwa Rais wa Zambia Michael Sata kilichopata baada ya kushinda urais ndugu CHANDA CHIMBA I I
 
Pole pole ni kichaa hakuna haja ya kumjadili ni wakupuuziwa !!
 
Huyu mchambuzi ana hoja za msingi sana lakini kwakuwa anakwenda kinyume na matarajio ya UKAWA kipindi hichi cha uchaguzi basi anaonekana mpumbavu na lofa. Aliyokuwa anasimamia juu ya mgombea mwenye maadili CCM ndio hayo hayo anayosisitiza mpaka UKAWA.

Tuwe wakweli tuache kumshambulia Polepole, nakumbuka kabla ya Lowassa kuja UKAWA wapenzi wa CHADEMA pamoja na viongozi wao waandamizi walikuwa wakimshambulia sana Lowassa, rekodi zipo kwenye mitandao.Baada ya kukatwa huyo na kuhamia kwa wasakatonge basi wafuasi wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wamejitoa akili na kusifia walichokuwa wakikipinga... Huu ni upumbavu.

Tubadilike tufanye siasa zenye mashiko tuweze kumpata kiongozi atakayeweza kutupeleka kwenye nchi ya ahadi.

Mimi kura yangu simpi kiongozi aliyeuza na kuifilisi ranchi ya Kitengule na kupeleka mradi wa maji Geita kwa sababu ana maslahi na madini kupitia kampuni dhalimu za madini, huku akiacha sehemu kubwa ya kanda ya Ziwa ikiwa haina maji.

Majibu Ya Julius Mtatiro
Huyo mjanja mjanja anayeitwa pole pole ni nani aliyemdanganya kuwa yeye ndio mwenye final Say ya watanzania!! Siasa ni kipaji na unatakiwa uwe na elements za uprophet na sio kipaji cha upayukaji!
 
Huyu mchambuzi ana hoja za msingi sana lakini kwakuwa anakwenda kinyume na matarajio ya UKAWA kipindi hichi cha uchaguzi basi anaonekana mpumbavu na lofa. Aliyokuwa anasimamia juu ya mgombea mwenye maadili CCM ndio hayo hayo anayosisitiza mpaka UKAWA.

Tuwe wakweli tuache kumshambulia Polepole, nakumbuka kabla ya Lowassa kuja UKAWA wapenzi wa CHADEMA pamoja na viongozi wao waandamizi walikuwa wakimshambulia sana Lowassa, rekodi zipo kwenye mitandao.Baada ya kukatwa huyo na kuhamia kwa wasakatonge basi wafuasi wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla wamejitoa akili na kusifia walichokuwa wakikipinga... Huu ni upumbavu.

Tubadilike tufanye siasa zenye mashiko tuweze kumpata kiongozi atakayeweza kutupeleka kwenye nchi ya ahadi.

Mimi kura yangu simpi kiongozi aliyeuza na kuifilisi ranchi ya Kitengule na kupeleka mradi wa maji Geita kwa sababu ana maslahi na madini kupitia kampuni dhalimu za madini, huku akiacha sehemu kubwa ya kanda ya Ziwa ikiwa haina maji.

Majibu Ya Julius Mtatiro
Kwa hiyo walio katwa?!
 
Ttzo la hyu dogo anaejiita pole pole ni kujifanya anajua kla kitu kumbe kuna watu tupo cul ila tunajua kupembua mchele na pumba zake. Yeye ni moja ya wale vichwa zero wasiotaka kuona nchi inakua na sura mpya ya kiuongozi. Akafie mbele uko
 
ni kweli tunataka mageuzi lakini ccm imeshindwa kutupa mageuzi hivyo tunaibadilisha. hapo ndipo zana nzima ya mabadiliko inakuja.
 
Nimemsikia Polepole BBC jioni hii akisema wale wote waliokuwa wakipinga maoni ya wananchi kwenye Katiba ndani ya CCM wametoka! Je spika na naibu wake wa bunge maalumu nao wameshatoka maana haomndiyo kwa wazi kabisa waliongoza uasi wa maoni ya wananchi. Polepole you are overdoing it!
 
hivi huyu polepole ni yule aliyekuwa analaumu bunge la ccm kuchakachua katiba? sasa anawaunga mkono tena waliochakachua katiba ya wananchi. wasomi wa hii nchi ni mizigo ambayo haibebeki
 
Back
Top Bottom