Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mk*ndu wakoI Love u too baby"Mwaaa,,,"
Ahsante baby,,"mwaaa"mk*ndu wako
Eti polepole anaweza akamjbu Lissu! Tuache utani,CCM imefilisika hivi hadi inatumia watu uchwara kujibu hoja za mateja kama T.I.D😅 Ila siasa mbaya sana jamani, huyu jamaa alikuwa mwenye akili na kujielewa sana, ona sasa anavyojitoa akili.
Let's meet at the top, cheers 🥂
CCM oyeeeeKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema CHADEMA imemdhulumu msanii TID kwa kutumia kauli ya "Ni Yeye" bila kumuomba wala kumshirikisha.
“Ni Yeye ilikuwa ya Magufuli, wale majamaa wameichomeka kule hawajamshirikisha kwa kweli sisi Watanzania tutawachukulia hatua." amesema Polepole.
Ikumbukwe hapo jana Msanii wa Bongo Fleva, TID amedai kuwa msemo wake 'NI YEYE' umechukuliwa na CHADEMA bila ridhaa yake kitu kinachomuumiza sana.
Kutokana na hilo, ameiomba serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kumsaidia ili kupata haki yake.
"Kiukweli leo nimehuzunika sana, like how come mimi niumize kichwa na my creative thinking, niandae kitu nikiwa naibua vipaji Uni Talent Show kama Judge alafu chama kabisa kina kuja ku overshadow my program kwa sababu za kisiasa! Huu ubabe utaisha lini?
#NiYeye is my idea," ameeleza TID.
--
NINI MAONI YAKO
NAWASILISHA
Nadhani siku moja ataandikwa katika vitabu na atakuja kutajwa kamaYani Lissu kaleta amsha amsha kwenye ulimwengu wa siasa jamani nyie! halafu mimi ninacholipendea Lissu yani haliogopi mtu.
Dah I love you Lissu
Haha labda yule wa warioba sio kwa H.P huyu utopolo mtupu 😅Eti polepole anaweza akamjbu Lissu! Tuache utani,CCM imefilisika hivi hadi inatumia watu uchwara kujibu hoja za mateja kama T.I.D
Ngoja nikunong'oneze,labda wanajuana.Duh hv TID anamjua vzr
Hvi anajua hyo hali anayo ni nini na kinacho msumbua
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Taifa limejaa matakataka Kila Kona kmmkeKatibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema CHADEMA imemdhulumu msanii TID kwa kutumia kauli ya "Ni Yeye" bila kumuomba wala kumshirikisha.
“Ni Yeye ilikuwa ya Magufuli, wale majamaa wameichomeka kule hawajamshirikisha kwa kweli sisi Watanzania tutawachukulia hatua." amesema Polepole.
Ikumbukwe hapo jana Msanii wa Bongo Fleva, TID amedai kuwa msemo wake 'NI YEYE' umechukuliwa na CHADEMA bila ridhaa yake kitu kinachomuumiza sana.
Kutokana na hilo, ameiomba serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kumsaidia ili kupata haki yake.
"Kiukweli leo nimehuzunika sana, like how come mimi niumize kichwa na my creative thinking, niandae kitu nikiwa naibua vipaji Uni Talent Show kama Judge alafu chama kabisa kina kuja ku overshadow my program kwa sababu za kisiasa! Huu ubabe utaisha lini?
#NiYeye is my idea," ameeleza TID.
--
NINI MAONI YAKO
NAWASILISHA
Ana hati miliki? Kwanini anashindwa kuiweka hadharani? Isije kuwa huyo Chakubanga AMEKURUPUKA TU!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]mk*ndu wako
Subiri kampeni zianze ndio utaona wanavyokata pumzi. Miaka 5 yote wanaongelea viwanda (ambavyo havipo), stigilaz, na SGR hadi tumezoea. Tunataka kusikia kwa waliozibwa midomo kwa miaka hiyo 5. Ngoja tarehe 28 Aug wawaondolee plasta walizozibwa midomo tuwasikie. Polepole na genge lake watakuwa hawana jipya.Eti polepole anaweza akamjbu Lissu! Tuache utani,CCM imefilisika hivi hadi inatumia watu uchwara kujibu hoja za mateja kama T.I.D