Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: CHADEMA wamemdhulumu TID, asema 'Ni Yeye' ilikuwa ya Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: CHADEMA wamemdhulumu TID, asema 'Ni Yeye' ilikuwa ya Rais Magufuli

😅 Ila siasa mbaya sana jamani, huyu jamaa alikuwa mwenye akili na kujielewa sana, ona sasa anavyojitoa akili.




Let's meet at the top, cheers 🥂
Eti polepole anaweza akamjbu Lissu! Tuache utani,CCM imefilisika hivi hadi inatumia watu uchwara kujibu hoja za mateja kama T.I.D
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema CHADEMA imemdhulumu msanii TID kwa kutumia kauli ya "Ni Yeye" bila kumuomba wala kumshirikisha.

“Ni Yeye ilikuwa ya Magufuli, wale majamaa wameichomeka kule hawajamshirikisha kwa kweli sisi Watanzania tutawachukulia hatua." amesema Polepole.

Ikumbukwe hapo jana Msanii wa Bongo Fleva, TID amedai kuwa msemo wake 'NI YEYE' umechukuliwa na CHADEMA bila ridhaa yake kitu kinachomuumiza sana.

Kutokana na hilo, ameiomba serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kumsaidia ili kupata haki yake.

"Kiukweli leo nimehuzunika sana, like how come mimi niumize kichwa na my creative thinking, niandae kitu nikiwa naibua vipaji Uni Talent Show kama Judge alafu chama kabisa kina kuja ku overshadow my program kwa sababu za kisiasa! Huu ubabe utaisha lini?

#NiYeye is my idea," ameeleza TID.

--
NINI MAONI YAKO

NAWASILISHA
CCM oyeeee
 
TID na Pole pole wanafanana tu, tofauti kidogo iliyopo ni kuwa mmoja kipara ndio kimeanza kuota, ila mwingine amekuwa akikificha kwa kunyoa zungu miaka nenda rudi!
Ila wote makazi yao ni sober...!
 
#Ni yeye#
Yaani hili ndo neno la Katibu mwenezi kuitisha Press kuliongelea?
CHADEMA waachieni CCM hiyo kauli tumieni "Usiyempenda Kaja"
 
Yani Lissu kaleta amsha amsha kwenye ulimwengu wa siasa jamani nyie! halafu mimi ninacholipendea Lissu yani haliogopi mtu.

Dah I love you Lissu
Nadhani siku moja ataandikwa katika vitabu na atakuja kutajwa kama
"The national Father for democracy"
 
Eti polepole anaweza akamjbu Lissu! Tuache utani,CCM imefilisika hivi hadi inatumia watu uchwara kujibu hoja za mateja kama T.I.D
Haha labda yule wa warioba sio kwa H.P huyu utopolo mtupu 😅



Let's meet at the top, cheers 🥂
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole amesema CHADEMA imemdhulumu msanii TID kwa kutumia kauli ya "Ni Yeye" bila kumuomba wala kumshirikisha.

“Ni Yeye ilikuwa ya Magufuli, wale majamaa wameichomeka kule hawajamshirikisha kwa kweli sisi Watanzania tutawachukulia hatua." amesema Polepole.

Ikumbukwe hapo jana Msanii wa Bongo Fleva, TID amedai kuwa msemo wake 'NI YEYE' umechukuliwa na CHADEMA bila ridhaa yake kitu kinachomuumiza sana.

Kutokana na hilo, ameiomba serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kumsaidia ili kupata haki yake.

"Kiukweli leo nimehuzunika sana, like how come mimi niumize kichwa na my creative thinking, niandae kitu nikiwa naibua vipaji Uni Talent Show kama Judge alafu chama kabisa kina kuja ku overshadow my program kwa sababu za kisiasa! Huu ubabe utaisha lini?

#NiYeye is my idea," ameeleza TID.

--
NINI MAONI YAKO

NAWASILISHA
Taifa limejaa matakataka Kila Kona kmmke
 
Ana hati miliki? Kwanini anashindwa kuiweka hadharani? Isije kuwa huyo Chakubanga AMEKURUPUKA TU!

Jameni yote haya ni katika KUWEWESEKA KWA CCM...?!!
Kishindo Cha Wagombea toka Upinzani kumewachanganya Mafisccm wa Lumumba na Jiwe wao....!!!
Huku MEMBE, huku TUNDU LISSU na kule MAALIM SEIF, yaani ni 🔥 kila upande...!!!
Yaani Mambo ni 🔥🤣🤣
 
Eti polepole anaweza akamjbu Lissu! Tuache utani,CCM imefilisika hivi hadi inatumia watu uchwara kujibu hoja za mateja kama T.I.D
Subiri kampeni zianze ndio utaona wanavyokata pumzi. Miaka 5 yote wanaongelea viwanda (ambavyo havipo), stigilaz, na SGR hadi tumezoea. Tunataka kusikia kwa waliozibwa midomo kwa miaka hiyo 5. Ngoja tarehe 28 Aug wawaondolee plasta walizozibwa midomo tuwasikie. Polepole na genge lake watakuwa hawana jipya.
 
Yamesahau kwamba yenyewe yamelifanya jeshi la polisi kuwa la ccm, rejea matamshi ya afande Shana arusha
 
Back
Top Bottom