Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: CHADEMA wamemdhulumu TID, asema 'Ni Yeye' ilikuwa ya Rais Magufuli

Ester wasira kaimba Magufuli Mwamba wakati tunajua Mwamba ni Mbowe!
 
Huyu polepole ni mweupe kabisa, katibu mwenezi kuitisha press afu unaongea vitu ambavyo hata Dr shika hawezi 😂, suala la Tid kwenye mkutano wake ni la Nini?? Yeye ni Nani mpaka aikemee chadema?, Kukosekana kwa Nape na Makamba Jr hakika hili ni pingo kwa mbogamboga.
 
Uyo Teja nae ni CCM? Kweli CCM inakila aina ya takataka
 
Reactions: BAK
Kabisa najua vikao huko kwao vinaendelea usiku na mchana kuhusu Lissu kwa jinsi anavyowapeleka puta.
Halafu upepo wa siasa umebadilika sana, wana hofu kuu kwa kweli, mpaka mkuu wa nchi anakula mahindi ya kuchoma hadharani, sio mchezo
 
Halafu upepo wa siasa umebadilika sana, wana hofu kuu kwa kweli, mpaka mkuu wa nchi anakula mahindi ya kuchoma hadharani, sio mchezo
[emoji23][emoji23]..nyie watu
 
😂😂😂😂😂 nimeiona hiyo picha nikashangaa sana.

Halafu upepo wa siasa umebadilika sana, wana hofu kuu kwa kweli, mpaka mkuu wa nchi anakula mahindi ya kuchoma hadharani, sio mchezo
 
Zamani wakisema wapinzani wanaongelea matukio tu hawana sera. Naona juma hili Polepole naye anaongelea matukio ya Lissu tu!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimeiona hiyo picha nikashangaa sana.
That is real definition of stress[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Reactions: BAK
Kwani magufuli si aliwaambia peoples kaeni nayo hiyo power wampe
Daah sina mbavuuu[emoji23][emoji23][emoji23], kwa hiyo magu haelewi kwamba people ndio power yenyewe au anajua power inatoka kwa mbuziii

People ndo wanaokupa power
 
Daah sina mbavuuu[emoji23][emoji23][emoji23], kwa hiyo magu haelewi kwamba people ndio power yenyewe au anajua power inatoka kwa mbuziii

People ndo wanaokupa power
Ndio hivyo tena[emoji2]
 
Kujimwambafy kwa kula mahindi ya kuchoma barabarani [emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] you always have evidence

Shukrani sana
 
Reactions: BAK
Hahahahaha that’s the beauty of JF school, you ALWAYS need to support your arguments with concrete evidence otherwise it is FAKE NEWS 😜😜😜

[emoji23][emoji23][emoji23] you always have evidence

Shukrani sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…