Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: CHADEMA wamemdhulumu TID, asema 'Ni Yeye' ilikuwa ya Rais Magufuli

Magufuli 2015 alivhukua M4C na mabadiriko kutesa kwa zamu
 
hilo bwia unga hata wimbo wa NYOTA YAKO sio wake....ni jizi,huni la kutupwa.
 
Hivi ninasoma nin?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumbe Chakubanga ni mpuuzi kiasi hiki!!!
 
Wakuu,
Naomba usikilizeni huu wimbo halafu tujadili kama anachodai TID ni kweli au anatumika. Huu wimbo kwenye hii link ni wa zamani sana. Tangu akina sisi ni watoto! sasa yeye leo anajimilikisha 'Ni yeye'. Mbona mtu mzima anajivua nguo!

 
Wakuu,
Naomba usikilizeni huu wimbo halafu tujadili kama anachodai TID ni kweli au anatumika. Huu wimbo kwenye hii link ni wa zamani sana. Tangu akina sisi ni watoto! sasa yeye leo anajimilikisha 'Ni yeye'. Mbona mtu mzima anajivua nguo!

Ngada zimeshamharibu ubongo wamuwahishe sober house Kabala hazijamuua kabisa
 
Kamwambie polepole asisahau dhuluma iliyofanywa na magufuli kwa kuiita M4C.
 
Wakuu,
Naomba usikilizeni huu wimbo halafu tujadili kama anachodai TID ni kweli au anatumika. Huu wimbo kwenye hii link ni wa zamani sana. Tangu akina sisi ni watoto! sasa yeye leo anajimilikisha 'Ni yeye'. Mbona mtu mzima anajivua nguo!

Huyo TID atakuwa na matatizo ya akili, huo wimbo ni wa tokea mwaka 2014



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20200809-105120.png
    54.1 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…