mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,734
- 1,616
Asante sana, huwa tunashindana na watoto wangu kila wakati kukiwa na kive event kwenye TV huwa tunashindana Elimu bure zimeenda shs ngapi, Zimejengwa zahanati ngapi, Wanafunzi wa Chuo pesa kiasi gani,. Uchumi unapanda kwa asilia ngapi, ndege ngapi. So predictable.
Kingine kwenye front line hakuna talkers. Hakuna watu watatu mfano wa Mzee Yusuf Makamba watapanda kwenye stage wafikishe msg kwa njia ya utani n.k Front line yote iko Serious and cold, eg Jafo, Lukuvi, Zungu, Majaliwa even Mama Samia sio mwongeaji japokuwa ana haiba ya kupendwa.
Watanzania wanapenda watu waongeaji, wachekeshaji n.k ukiwa mkali watanzania wana tabia ya kukuogopa na kukukwepa kwa sababu hawajui kumface mtu na kumwambia ukweli.
Kingine kwenye front line hakuna talkers. Hakuna watu watatu mfano wa Mzee Yusuf Makamba watapanda kwenye stage wafikishe msg kwa njia ya utani n.k Front line yote iko Serious and cold, eg Jafo, Lukuvi, Zungu, Majaliwa even Mama Samia sio mwongeaji japokuwa ana haiba ya kupendwa.
Watanzania wanapenda watu waongeaji, wachekeshaji n.k ukiwa mkali watanzania wana tabia ya kukuogopa na kukukwepa kwa sababu hawajui kumface mtu na kumwambia ukweli.
mkuu upo sawa kabisa na lingune hoja za ccm ni zile zile ambanzo mwenyekiti wao amekua akizizungumza kila wakati kwa miaka mitano so wananchi wameisha zizoea na ikumbukwe prof mkandala kwenye kongamano moja aliema kitu wennda hata viongozi wa ccm hawakutilia mahanani sana japo ni jambo la msingi alilo sema ,kwamba
Waweza kua baba mzuri katika familia na unawapa kila kitu familia ila kama hawana furaha moyoni ni kazi bure , ni maneno machache yenye wigo mpana wa kufikirisha sana na pamoja na kumlinganiasha baba wa taifa na mh rais wa sasa katika kujenga hoja zake alisema HATIMA YA CCM BADO HAIJULIKANI JAPO DALILI ZA MVUA NI MAWINGU ,VIPI ndugu zangu na viongozi wa ccm hua wanayatafakari maneno haya hata siku moja kwamba yana uzito wa kipekee na kuyafanyia kazi ?