Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polepole anahitaji sikio la kijana; anapingana na wahuni wanaodhani wana hati miliki ya nchi hii.
Vijana tunamuelewa sana kama kiongozi wetu wa kesho.
Long live Polepole
Hebu badilisha hapo kwenye TUPO,sema NIPOKwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.
Polepole for future presidency
#kataawahuni
Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni
Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote
Sasa kama mnataka kuwa marais simumuache mwenzenu aongoze nchi kwa Utulivu!!!
Kwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.
Polepole for future presidency
#kataawahuni
Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni
Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote
CCM yupi si mhuni. Hayupo!Polepole ni kigeugeu sana!
Utafiti unasema Watanzania wengi mmechanganyikiwaKwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.
Polepole for future presidency
#kataawahuni
Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni
Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote
#kataaWahuni.....Polepole mvamizi...alivamia CCM 2015 kwisha habari yake bahati mbaya godfather akasepaMh Polepole ni mwana CCM na kijana pekee mwenye dira.
Mungu atulindie huyu shujaa dhidi ya vita vyake na wahuni.
Tanzania kupitia CCM sio monarchy state kama baadhi ya watu wanavyodhani.
God bless Polepole kwenye vita yake na wahuni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usijali Rafiki wa polepole nakwambia piga ua lazima tuingie ikulu polepole ni zaidi ya Nyerere mtu na uweledi wake [emoji16]mr presidencial material
Kwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.
Polepole for future presidency
#kataawahuni
Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni
Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote
Yaani nyie mmebaki wajane,ubunge wenyewe Ni was viti maalumu,kwa akili yenu mnafikili na uRaisi mtapata kwa tiketi ya viti maalumuKwa wanasiasa wote Polepole ndio aina ya watu ambao wametengenezwa kutuongoza kesho yetu vijana.
Polepole for future presidency
#kataawahuni
Mungu tulindie Polepole dhidi ya wahuni
Vijana tupo tayari kwa uongozi wa Polepole kwa nafasi yoyote