The man is more than correctMbombo ngafu.
View attachment 2821320
Aaah kumbe ndivyo ilivyo.. Sasa ni wananchi gani wamelalamikaMbombo ngafu.
View attachment 2821320
Mungu ameondoa kauli kuttoka kwenye ndimi zao.Mbombo ngafu., Kwa nini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?
View attachment 2821320
Neno NIA ndilo tatizo hapo.Kama itathibitisha tuhuma hizo, sioni shida, ni sawa tu.
Dah Sasa Na Bado Jaji Ntemi Yupo kitini..Mbombo ngafu., Kwa nini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?
View attachment 2821320
NA NANI? LABDA KIFO KITAWAWAJIBISHAKumbe! CCM...kumbe ndio maana wanang'ang'ania madaraka! Iko siku hawa waovu wote watawajibishwa tu!
Nimemsikia!, kwanza Tanzania hatujawahi kuwa na Jaji Mtemi Ramadhani, Jaji ni Agustino Ramadhani. Mtemi Ramadhan ninayemjua mimi , ni aliyekuwa mchezaji wa Simba, kisha kiongozi wa Simba kisha kiongozi wa FAT.Mbombo ngafu., Kwa nini awafuate CCM? Sio TLP au Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu, au wakuu wa mikoa?
View attachment 2821320
Subiri siku Watanganyika wazinduke, kuna watu wataikimbia nchi.NA NANI? LABDA KIFO KITAWAWAJIBISHA
Mkuu, hii ifute kabla wateja wako wa uwakili hawajaiona, Judge Incharge Mahakama Kuu Masjala Ndogo Mwanza ni nani? Na pia alikuwa Jaji Incharge Mahakama Kuu Masjala NdogoBukoba akaacha madudu matupu huko.Nimemsikia!, kwanza Tanzania hatujawahi kuwa na Jaji Mtemi Ramadhani, Jaji ni Agustino Ramadhani. Mtemi Ramadhan alikuwa mchezaji wa Simba, kisha kiongozi wa Simba kisha kiongozi wa FAT.
P